mtu ana miaka 26 halafu kasoma, shule ya msingi, secondary (o-level na aA-level) na degree halafu anajiita yeye ni mtoto mdogo. kweli mambo ni mengi, muda mchache
Habari zenu watalaamu na wadau wa sheria. Naomba kujua kama mtu akifikishwa mahakamani kwa kudaiwa fedha ya mkopo na mtu binafsi, atatakiwa kuandaa wadhamini wa kumdhamini akiwa mahakamani?
hizo ni mojawapo ya changamoto za kuoa mtu usiyemjua kwa undani. unakuja kumjua kwa undani wakati tayari mambo yameharibika. cha msingi kaa naye chini, muulize ujue sababu za kukuficha. ila ninachokiona hapo alikuficha ili usimuache kwa hiyo ametumia ujanja kuhakikisha anapata mume kijana...
haya ndio matatizo ya kutumia hila ili kuvunja uchumba wa watu ili mke umuoe wewe.
Pili wewe umeanza kucheat kabla yake. sasa ni zamu yake.
Na ukizingatia kumuacha huwezi yaani umefariki umeoza kwake atakuchezea kama baskel ya watoto.
Ushauri, vumilia maana umeyataka mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.