Mimi nina mpenzi wangu, kila ninapofanya tendo la ndoa kuna uchafu unatoka kama maziwa yaliyo ganda ambayo yanatapaka kwenye uume wangu. sasa wadau huu ni ugonjwa gani?
Jamani naomba msaada wa kitaalamu. mimi niliwahi kuumwa ugonjwa wa mkanda wa jeshi, lakini nilifanikiwa kupata matibabu hatimaye madonda yale yakapona. Lakini saizi lile eneo ambalo nilishikwa hayo madonda panakuwa kama vitu vinatembea kwa ndani harafu pana washa sana. Je wadau nitumie dawa...
mimi nadhani kuna siku ambayo nape atakuja kujutia maneno yake. hata hivyo maneno mengi iiiiiiiiiiiiiiiii. ushauri nape nadhani mengine tumia busara ya kukaa kimya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.