Ila bwana viongozi wa chadema huwezi kwa kujilipua wote wako kama baba yao Dr Slaa. Nilidhani ile hoja angehofu maisha yake kama mleta mada alivyosema. Ila inaonekana viongozi wengi wa Chadema akiwepo Aweda hawana hofu na kifo.
Mkuu, kweli kuchakachua ni jadi yenu; Yaani hata taarifa tu unachakachua, huoni aibu hapa Jamvini;
Huko JWTZ Alijieleza vya kutosha na wanajeshi walimwonea huruma wakampa Nauli na Tsh 10,000/= ya kula njiani ilie aende Bungeni huku wakiwa wamemkabidhi namba za simu za wabunge 2 wa upinzani ili...
Wewe umesema kweli,
Kazi ya zitto ni kupunugaza kasi ya chadema. Hotuba yake Tabora ni kumpinga bosi wake Slaa ili kuwachanganya wanachadema nchi nzima. Shame on you zitto.
Haya ndo yalikuwa maelekezo ya Shehe Ilunga, SASA tunashangaa nini?? Hivi yuko wapi?
Magazeti ya Al nuur kazi zao kila siku ni kuhubiri chuki tu. Hali hii lazima izuiwe na serikali. Siku moja Radio imani ikatangaza kwamba Mabomu ya Gongo la Mboto yamelipuliwa na wakristo kwa sababu waislamu ni...
Kwa nini waharakishe kumtaja hadharani Victor Ambrose, lakini vijana 4 wa kiarabu hawatajwi majina yao? Kuna nini hapa kinawatatiza Pinada na Emanuel Nchimbi. Unafiki ni mbaya sana.
Wadau ktk muda ambao sikutarajia nimepata mil 10 kutokana na mikopo kwa wafanyakazi niliopewa na benki yangu kama mfanyakazi - sikutegemea kabisa japo nilikuwa natafuta fedha hizi muda mrefu.
Sasa nataka niende Morogoro ninunue mchele kisha niweke ktk Godown halafu nitauza bei ikipanda. Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.