Kiukweli hata ingekua mama yangu mzazi na amefoji cheti sheria ingefuata mkondo wake. Kuna msemo wanasema sema kweli japo kuwa inauma...sasa hawa watu ni waongo na ni wahalifu. Kuna msemo unasema ex dolo malo non oritur actio "no action arises from deceit". Sasa bado mnataka watanzania huruma...
Hi degree ya criminology is a special case. Yani katika siku alinishanhaza ni pamoja na hii bachelor of criminology alaf amerudi bongo hata polisi hawa mtambui. Mara anasema kapitia jeshi mara baharia
Kiwanda cha sukari TPC kinazalisha umeme wake out of mabaki baada ya kutengeneza sukari na saw dust. Umeme wao unaweza run mashine za kiwandani na wakauza. Kuna kipindi nilisikia TANESCO walikataa kuuziwa umeme huo na TPC hivyo unauzwa Kenya.
Kwanini serekali isingewaza kununua huo umeme wa TPC...
Sawa learned friend....mwambie aende tena umsindikize mkapigwe za uso pamoja. Katika mikataba ya kazi huwa kuna clause ya kusema utakua tayari kufanya yale yote utakayo elekezwa na muajiri.
Sasa mshauri vyema aende akapata fundisho la labor law mahakamani.
Swala la office za Chadema lina wauma sana wana ccm? Mnataka ijengwe mumtume Bashite akavamie kama alivyoenda Clouds?? Maana ni pilipili msioila ila haiachi kuwa washa washa.
Naona leo mpinzani wake kijana Abubakari Assenga (mtoto wa fundi cherehani) ata lala kwa kumeza valium au piriton. Sio kwa kumsakama vile kijana wa watu. Alimsema sana hukumu ilivyotolewa.
Na wewe mbona una so much details za clouds hujihusisha na madawa ya kulevya? Umesha report hizi taarifa zote katika kituo cha polisi au kwa kamishner? Au huu uzi ndo kituo chako cha polisi?
Prof Kabudi atakua mwanasiasa kama walivyo wengine. Kama kuna mtu alipata mjua Dr. Tulia Ackson kabla ya cheo hiki anacho kitumikia sasa na Tulia aliekua UDSM/ UDSL/FOL ni mbingu na ardhi.
Usitegemee mtu tena apatapo cheo ambacho labda hakukidhania kama ata kipata.
Kabudi ni maneno mengi na...
Nimecheka kwa nguvu utadhani uliyo yaandika ni mema sana au ya kufurahisha. Juzi kati katoka mtu kuchomwa mkuki wa mdomo.
Alaf bado mtu anataka tusifie sasa tutakua tunadanganyana palipo pa kucriticize tuseme na sio tutake kufurahishana maana hatutafika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.