Search results

  1. Lionell

    Kwa wale wa mzumbe university

    wale wote mliochaguliwa mu wameishatoa allocation for accomodations xo angalieni mapema kama jina halipo jipange kulipa off campus maana ni gharama....na pia wametoa unatakiwa kulipa kiac gan kama ada na michango mingine kulingana na mkopo uliopewa.....for more info tembelea web ya chuo
  2. Lionell

    Wale wa mzumbe mpo!

    Hawa mu nao cwaelewi wameandika ukipata chumba ndo ulipie wakat kwenye join wameandika utakapoonyesha pay in slip hapo hapo utapewa room xo utasecure room vipi without paying first? Na wameongeza idadi ya wanafunz tena nimeona majina kwenye web yao.........af kwenye join wamesema kulipa mwisho...
  3. Lionell

    Wale wa mzumbe mpo!

    mfano nikifika mchana hapo mu cku ya kwanza ntapata chumba
  4. Lionell

    Mzumbe guyz!!!!naomba msaada kwa hili

    ni laki mbili ingia kwenye web ya chuo then kwenye fee structure utaona
  5. Lionell

    Uhusiano wa shule za gharama na mkopo

    duu kama ndo hivyo kigezo cha xcl ndo kimetumika na kama wazaz wapo au laa kwa non priority
  6. Lionell

    Uhusiano wa shule za gharama na mkopo

    ni kweli waliosoma st kayumba kwa kiasi kikubwa wamepata mikopo na ni kiasi kikubwa ili weng wao wenye div one na two...mimi nipo bba na nimepata wa kutosha pale mzumbe ingawa olevel nimesoma private na advance ya kata....na best angu kasoma pandaili ya mbeya ada yao ilikuwa zaid ya mil moja na...
  7. Lionell

    Mpya kutoka heslb hii hapa baada ya kugoma kufunguka cku kadhaa waja na jipya

    daaa kwa hapo cjui hatima yao ni ipi maana katika hayo majina wapo wenye mkopo watakaporekebisha tu wanapewa especially priority programmes
  8. Lionell

    Students with loans but subjected to veryfication

    Ingia heslb mtapata majibu yote wameweka
  9. Lionell

    Loan Board [Heslb] waja kivingine.......Wataalam tusaidiena sababu bado hawasomeki.

    daa pole sana aisee try 2find financial assistance kwa watu wenye uwezo kama wazaz au walez hawana uwezo maana no way out ishatokea
  10. Lionell

    Loan Board [Heslb] waja kivingine.......Wataalam tusaidiena sababu bado hawasomeki.

    inakubali mbona kama index ni ya olevel na jina ni vyema ukatumia ubini ili uwah kuona kwasababu majina ya mwanzo meng yebo yebo
  11. Lionell

    Nini hatima yetu sisi ambao tunavigezo lakini hatujaona mikopo nashindwa kuelewa mana mikopo siielew

    wametoa majina ya watu wenye vigezo na mikopo yao ila yao ila wanamatatizo mbali mbali check post yangu utayaona au ingia heslb uone unaweza ukawemo
  12. Lionell

    Mpya kutoka heslb hii hapa baada ya kugoma kufunguka cku kadhaa waja na jipya

    Baada ya web ya mikopo kuto funguka now inafunguka na kunamabadiliko kama majina hayaonekani bali una search jina au unaandika index no then unasearch fasta utaona umepata au laa......c hivyo tu kuna majina yapo wamepewa mkopo ila wanamatatizo kidogo wamepewa cku 14 kurekebisha ili...
  13. Lionell

    Kwa yeyote anayesoma Mkwawa University.

    me cpo muce ila ni mwenyeji wa pandi hizo nastay iringa town.....kuhusu kiasi cha kwenda nacho kwa upande wako ni michango tu mingine ya chuo ingia kwenye web yao nadhan ipo kama caution money,identity card etc...na kuhusu vyumba vipo vya kutosha karibu na chuo ni wewe tu kuelewana bei na mwenye...
  14. Lionell

    Jinsi ya kukokotoa kiasi cha fedha ya Mkopo kuwa %

    co kute mzumbe ni 1785000 meal allowance na ni tsh 7500 kwa siku ingia kila web ya chuo utaona hiyo kitu na field co kwa wote ni kwa wale ambao wanazo mfano education
  15. Lionell

    Jinsi ya kukokotoa kiasi cha fedha ya Mkopo kuwa %

    inadepend na facult mfano wa education lazima atoe na ya field ya cku 56 sh elfu kumi kwa siku....wengine mnatoa ya meal na stationary tu kama hauna field mwaka wa kwanza.....kwa wale wenye field kama edu chukua mshiko uliopata den toa ya meal,stationary na ya field na cla kila chuo hela ya...
  16. Lionell

    UMECHAGULIWA PROGRAM IPI na NI CHUO GANI??

    Bba in marketing mzumbe.....hongeri wote,,,,,wa mzumbe tutafutane jamani
  17. Lionell

    Wale wa mzumbe aka chuo makini mbona kimyaaaaaaaaa?????????

    me pia mzumbe i heard msul wa pale c wa kitoto n i lyk dat thing cz hatuend chuo kucheza ni kusoma ataecheza ni uamuz wake hata mimi nikicheza bac ntakuwa nishatafuta chuo kingine cha kukimbilia cz nimejitakia
  18. Lionell

    IFM sio Chuo???

    ile ni institute na weng wanaoenda pale full ubishoo af na pepa zao very simple na best angu yupo pale yaan cjaanza chuo ila maswali nilijibu karibu yote had yeye alishangaa akaniona najua kumbe hakuna kitu pepa yenyewe easy af watu kibao kuna facult inaitwa social protection wamepelekwa na tcu...
  19. Lionell

    mzumbe

    me pia nimechaguliwa mzumbe ni kiasi gan natakiwa kuwa nacho ili nisajiliwe kama mkopo nikikosa for the first semister
Back
Top Bottom