Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana na Libarikiwe. Amen.
RIP. Bishop Amedeus Msarikie.
RIP. Bishop Joseph Albertus Spendi
RIP. Bishop Joseph Kilasara
Kwani huyu ni nabii wa Ma-ilsamu?
Umekosa cha kuandika nini?
Halafu unapoandia Jambo kutoka kwenye korani yako nukuu surah na aya usiandike tu kama vile unawaandikia Mamuuma wenzako.
Mungu Mwenyezi katika Jina la Yesu aliyemuumba David Nkuba hatimaye amemrudisha kwake.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa na Jina la Bwana libarikiwe. Amen (Ayubu 1:21).
Poleni sana wafiwa, Mungu Mwenye enzi katika Jina lipitalo majina yote Jina la Yesu Kristo awafariji wakati huu mgumu. Amen.
Boko-Haram Manifestation
Bandugu, hivi karibuni nilikuwa Nchi Moja yenye ma-boko-haram wengi, wakati walipokuwa wanahitimisha ibada yao kwenye nyumba yao moja ya kumwabudu mungu wao yalikuwa yanamuomba mungu wao hivi: -
Wala tataghezu Alyehoud wa Alnasara Awlia lakoum.
(Do not ever choose...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.