Wewe huyu ECA ana uwezo wa kwenda kusoma Private thou Govt hawawez kumchagua huko, na A level akipata S ya BAM atakuwa na uwezo wa kusoma hata degree za biashara...unless apate F
kiserikari huwez pata post ya comb inayoinvolve maths but kwa Advance za Private zipo na unaweza ukasoma comb za business zozote hata EGM...sema ndo hvyo yabid ukaze
anapata shule huyo but private kwa hiyo hiyo HKL na F yake zipo private zinazokubali,,,criteria ya mtu kufanya pepa ya form 6 ni mtu awe na credits 3 za o-level haiangalii combination yako ulipataje grades,,,tumesoma na watu waliokuwa na F's kwenye moja ya masombo kwenye combinations n still...
sasa maji2 had leo wanaendelea kubishania Rank za vyuo, wa2 wamemaliza vyuo ambavyo haata havipo hapo kwenye list na hvyo hvyo mnavyovidharau still tunawaona wana kazi nzuri na maisha yanaenda, sielewi inakuaje hapo...watu wote wanajing'ang'aniza kuingia UD hata kwa course ambazo hazikuwa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.