Search results

  1. B

    F math Eti Ninaweza kwenda combinations za biashara

    Wewe huyu ECA ana uwezo wa kwenda kusoma Private thou Govt hawawez kumchagua huko, na A level akipata S ya BAM atakuwa na uwezo wa kusoma hata degree za biashara...unless apate F
  2. B

    Naweza kusoma nini na chuo kipi kwa division four point 33

    nimereply comment ya huyo jamaa hapo aliyecomment u2mbo, check comment ya Aranblue
  3. B

    F math Eti Ninaweza kwenda combinations za biashara

    kiserikari huwez pata post ya comb inayoinvolve maths but kwa Advance za Private zipo na unaweza ukasoma comb za business zozote hata EGM...sema ndo hvyo yabid ukaze
  4. B

    Je afanyaje?

    huyo hawezi kwenda A'level coz hajafikisha 3 crdts in overall
  5. B

    UDSM cha 25 kwa ubora Africa na 4,229 Duniani

    please dont tell me these ranking topics are happening again
  6. B

    Tanzania one ametoka shule gani

    kwa mara ya kwanza TZ hakuna one ya .7 wala .8 ni .9 tena hazfiki hata nne nafkiri
  7. B

    Private candidate: Ana c tatu (english na kiswahili na civics) nishaurini aende wapi?

    anapata shule huyo but private kwa hiyo hiyo HKL na F yake zipo private zinazokubali,,,criteria ya mtu kufanya pepa ya form 6 ni mtu awe na credits 3 za o-level haiangalii combination yako ulipataje grades,,,tumesoma na watu waliokuwa na F's kwenye moja ya masombo kwenye combinations n still...
  8. B

    UDSM chapaa Afrika;sasa cha sita!

    when will these :argue: topics be over people?
  9. B

    Je, chuo ulichosoma kimeshika nafasi ya ngapi Afrika?

    waambie hao, waendelee piga tu kelele humu na hizo Rank zao
  10. B

    Je, chuo ulichosoma kimeshika nafasi ya ngapi Afrika?

    sasa maji2 had leo wanaendelea kubishania Rank za vyuo, wa2 wamemaliza vyuo ambavyo haata havipo hapo kwenye list na hvyo hvyo mnavyovidharau still tunawaona wana kazi nzuri na maisha yanaenda, sielewi inakuaje hapo...watu wote wanajing'ang'aniza kuingia UD hata kwa course ambazo hazikuwa kwenye...
  11. B

    wakali wa Ds 101,development studies,fungua hapa utoe maoni,maana ni zaid ya ubishi

    ...watu wanazunguka tu hadi sa iv sijaona aliyejibu bado
  12. B

    Chondee chondee wapendwa nakosa rahaa...

    sasa hivi washarekebisha mi nimefanikiwa
  13. B

    Chondee chondee wapendwa nakosa rahaa...

    na mimi ni kitu hicho hicho sijui ni kwa nn kwenye hiyo step inaleta hiyo error
  14. B

    Udom

    kwa sababu aliyeuliza ni mwanaume
  15. B

    Udom

    So tukusaidiaje??
  16. B

    Udom

    pa 1 mkuu
  17. B

    Kwa wale waliokosa na wasioridhika na viwango vya fedha ya mikopo, muda wa kuapeal ndio huu.

    umeona eeh!!! Haileti kitu ukishamaliza kujiregister,,,,kwanza wenyewe tu bado hawajatangaza official kama process imeanza
  18. B

    Msaada kuhusu malipo UDOM

    msisahau na buku 5 ya UDOSO hizo deadline ni biti tu
Back
Top Bottom