Search results

  1. C

    Zitto: Vijana acheni siasa chafu za kuwachonganisha Viongozi, Ungeni Mkono harakati za Ukombozi

    Zitto anajichafua mwenyewe na wala hachafuliwi na mtu.
  2. C

    Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

    Matokeo rasmi nimeshayapata, nangoja JF verification punde niyamwage hapa.....
  3. C

    Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

    Maggid Mjengwa ni ndimi mbili, wakati mwingine sio wa kumwamini sana. Dawa yake ni kumpuuzia kwanza.
  4. C

    Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

    Bora uchaguzi urudiwe tu maana hatuna Imani na wasimamizi wa Uchaguzi.
  5. C

    Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

    Hii ngoma draw ama Ufoo saro ilindime ukumbini.
  6. C

    TB JOSHUA: Kuna Rais East Africa atatekwa na Club kulipuliwa

    Kwa vyovyote vile hiyo nchi itakuwa ni Uganda, maana tayari kulishawahi kutokea mlipuko kwenye Club kama sikosei. Kwenye issue ya urais bado ni kizungumkuti, maana haiko specific sana. Eeh Mola epusha haya mabalaa, na ikiwezekana mwepushe sana na haya madhila Check Bob wetu, bado hata katiba...
  7. C

    TB JOSHUA: Kuna Rais East Africa atatekwa na Club kulipuliwa

    Rais wa nchi, club ya soka au chuo kikuu? Maana siku hizi kuna marais wengi. Kuna hadi rais wa Watanashati hapa Tz. Na kama kuna utabiri wa club kulipuliwa basi kuna dalili rais atakayetekwa ni rais wa watanashati, Bob Junior au Diamond. Kinyume na hivyo basi huyu 'Check bob' wetu pale...
  8. C

    Mwigulu na Mwigamba nani aliwatuma?

    Erythrocyte kwanini isiwe sasa na badala yake iwe baada ya uchaguzi wa 2015?
  9. C

    Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

    Kama ikitokea leo Malinzi akashindwa basi nitakuwa mnyonge sana. Simkubali kabisa kabisa Nyamlani, he is a bad man to me and to the many people. Ni mlafi mkubwa sana. Yeye na Tenga ni wafitini sana. Itanikumbusha 2012, uchaguzi wa Arumeru-Mashariki siku ambayo CCM tulipoteza jimbo letu...
  10. C

    Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

    Kuna maslahi binafsi. TFF kwa sasa kuna mpunga mwingi, mtamu na msafi ile mbaya. Tenga ni mjanja sana, anajua kula na vipofu, ni mzuri katika kuficha makucha yake. Yeye na JK bado sijaona tofauti, bora wengine wachafuke lakini yeye abaki msafi. Unakumbuka issue ya Kaijage?
  11. C

    Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

    Amekuwa akimsaidia Tenga kwa karibu katika kutekeleza majukumu yake. Yeye na Tenga wamefanyakazi pamoja kama timu moja.
  12. C

    Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

    Inavyoonekana member wengi humu JF wanapenda Malinzi ashinde, sasa ngoma ikienda tofauti basi wengi tutanywea kama tumeloweshwa maji baridi.
  13. C

    Uchaguzi Mkuu TFF - 27 Oktoba 2013: Jamal Malinzi Rais Mpya wa TFF!

    Nabashiri matokeo yatakuwa sare sare, yaani wagombea watafungana kwa kura, kama Simba na Yanga vile. Kinyume na hapo mambo ya Mr.Mushi na Ufoo Saro nahisi yatatokea!!!
  14. C

    Wanaofukuzwa/zushiwa/shutumiwa CHADEMA: Kwanini wana hoja inayofanana?

    Naona Nyakarungu umeibuka leo na hoja mfu na kisha umepotea hewani ghafla. Ndugu yangu acha woga, unafiki na Uzandiki, karibu CCM tena hadharani tufanye siasa za kistaarabu kuliko kujificha humu Mitandaoni kwa aibu na kuizodoa CHADEMA wakati walishakufukuza kwa aibu.
  15. C

    epson 1410 photo printer

    Ina nini special mpaka uitafute hivyo? Try to Speak it out ili watu waingie kazini kuagiza mzigo kutoka nje na biashara ifanyike.
  16. C

    Wanaofukuzwa/zushiwa/shutumiwa CHADEMA: Kwanini wana hoja inayofanana?

    Jibu linaweza kuwa rahisi sana. Inawezekana anayewatuma hao watu ni mtu mmoja hivyo mawazo yao yanaweza kuwa yanafanana siku zote.
  17. C

    Wanaofukuzwa/zushiwa/shutumiwa CHADEMA: Kwanini wana hoja inayofanana?

    Mbaya kuliko zote ni kwamba, mara baada ya kutimuliwa tu, umaarufu wao kisiasa unakufa na kupotea kabisa. Hivi ni kwanini huwa hivyo?
  18. C

    Wanaofukuzwa/zushiwa/shutumiwa CHADEMA: Kwanini wana hoja inayofanana?

    Kumbuka pia wengi wao huwa pia wanarudi CCM na huko watapokelewa kishujaa, kwa nderemo na vifijo na kisha kuzawadiwa vyeo vya bure. Hivi ni kwanini huwa wanafafana sana?
  19. C

    Wanaofukuzwa/zushiwa/shutumiwa CHADEMA: Kwanini wana hoja inayofanana?

    Na pia huwa wanakuwa na mawasiliano ya karibu kisirisiri na Ikulu ya Magogoni, Maafisa wa TISS, Vigogo wa CCM. Hivi ni kwanini huwa wanafanana hivyo?
  20. C

    Wanaofukuzwa/zushiwa/shutumiwa CHADEMA: Kwanini wana hoja inayofanana?

    Pia usisahau kuwa, wote inasemekana huwa wanalipwa kisirisiri na CCM yangu kwa kazi hiyo na pia hupendwa na kupongezwa sana na wanaCCM. Kwa mfano Shitambala, Juliana Shonza, Chagulani Matata, Mwampamba, Habibu Mchange nk. Hivi ni kwanini wanafanana hivyo?
Back
Top Bottom