Hamna lolote. Msekwa si nguzo ya chochote. The guy is so poor kwenye kujieleza. Halafu busara zake za kijinga kweli. Na angekuwa nguzo si angeisaidia CCM kushinda Tarime.
For the benefit of reducing the possibility of confusion between "opinions" and "facts", we would appreciate if you put down the creteria you used to come to the conclusions you made on the wort websites!
This will, of curse, help us to continue contributing on those next to the worst...
Kuna NW mmoja wa serikali ya Kikwete aliwahi kwenda mbele ya Bunge akiwa na jibu la swali tofauti na lile aliloulizwa. Akalisoma almost lote kabla hajajua kwamba anajibu vitu tofauti na alivyoulizwa. Aliposhtuliwa ikamchukua mda mrefu sana akitafuta jibu la swali sahihi kwa aibu. Spika akaamua...
Ndugu S. Mtsimbe,
Mimi kama mmoja watanzania ambao wangeweza kujiunga na TPN nina machache ambayo ningependa kushauri na kupata ufafanuzi kabla ya kujiunga.
1. Nimepitia tovuti yenu, nimekutana na makosa kadhaa ya wazi ya lugha. Nadhani ni vizuri tovuti hii kwa sababu inawakilisha...
Ukiingia kwenye ndoa ili kutafuta furaha umeliwa. Na watu wengi wamefanya kosa hili. Wengi wanadhani ndoa ni sehemu ya kutafuta furaha na utifilimu (completion) - it's wrong.
Ndoa nimuunganiko wa watu wawili wenye furaha na walio kamili wanaunganika na kuwa mwili mmoja. Kwenye ndoa unaingia...
Hey dear moderators,
I've been busy studying my Bible; and was ready for a powerful sermon here on the Forum for the good of us all, just to realize that I do not have "enough privileges" to preach on the Dini/Imani section. What happened?I'm a baptized (Biblical baptism) practising christian...
BUBU ataka kusema
I'm afraid this is a ticking time bomb! However, Will and Jada deserve some congrats for theirs is one of the longest hollywood marriages. Just like Denzel Washington
Maelezo yako mengi ni sahihi. Tunaloshindwa kuelewa ni kama unatofautisha makosa ya uwezo mdogo wa utendaji na makosa ya jinai. Makapa inawezekana akwa Rais bora Afrika na dunia nzima kwa ujumla. Shida ni kama akiiba - anakuwa mwizi.
Kwa maneno mengine ni kwamba kama mtu ametenda kosa la...
Tafsiri sahihi ni Habari Mpya. Isipokuwa kwa lugha ya kiingereza maneno yanoyutumika yana weight na impact zaidi na yamezoeleka sana na hivyo yanaweza kumvuta msikilizaji zaidi. Hivyo kutufanya tuanze kutahayari kutafuta maana ambayo inaweza pia kuwa na impact kama hiyo ndio tunapojikuta...
Huyu Mzee aache kujikanyaga sasa. Yaani ameamua kuanza kutafuta umaarufu kwa nguvu kupitia kifo cha mtoto wake???!!!!
Eti amekufa kama Nabii Isa......KUFURU hii. Amina si ndo huyo tunasikia alikuwa anarukaruka kama kindege tu .... anafananishwa vipi na manabii???!!!
Alikuwa na maajabu...
Huyo Chacha is totally a joke. Alikutana na ubunge kwa bahati mbaya sana wakati mpuuzi mwingine mkubwa zaidi wa CCM alipozidisha wizi, uchawi na uzembe.
Baada ya hapo ubunge jimboni hapo ukawa ni "loose ball". Na wananchi walikuwa wamechoka kiasi ambacho hawakuwa tena wanataka mbunge mwenye...
This is foolishness! Africa is not so scarce of strongmen that it can justify evils and deaths for the 84 year old weak Mugabe to fufill his selfish ambitions.
Naelewa sana. Tatizo nililonalo inawezekana ni kukufanya wewe uelewwe. Anyway don't worry about it. Endelea na maisha tu mama. There's more to life than this discussion. Best of luck
You implied here kwamba mimi namsemea Zitto. Ndicho nilichoamua kukusaidia kwamba mimi sikumsemea. Nilishangaa na kujiuliza. Kuna tofauti. I hope you can understand this, this time around!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.