Dogo huwajui necta eeehh....subir matokeo yatoke,we post habr za vyuo bora afu baada ya matokeo 2ckuckie huku kisa necta wabaya,,,,be patient
:smile-big:
hakuna lolote,,,,bado tu hujaelimika wewe ? Hakuna chuo bora hata kimoja,,,chuo bora ni kichwa chako,,,,we wa wapi kila cku unaelimishwa ? Badilika kijana
BAF ipo mzumbe,,muccobs,,ardh.,,KIU,,,RUAHA,,,ST JOHN,,,na kuna faculty nyingne ambazo application zake na qulification zake ni kama baf,, mfano bcom ya udsm na udom,,,bankin & finance na accountn ya ifm,,,IAA,,na nyinginezo nying,,,,,,,,,,,Na huwa kama mmechunguza qulufication requirements...
Yap c vbaya na haya kakawa yanaletwa huku ili mda mwingine tucheke kidogo,,,na ndo jinsi maisha yanavyoenda so kila siku kulia lia 2.......LETA NYINGINE KALII,,,,hahahahahahhaaaaaaa
Anayedic chuo flan hajisom,,,et utackia kampuni yanatangaza nafac za kaz alafu mwishoni wanasema **ANGALIZO---Awe amesoma UDOM*** ACHENI MAMBO YA KIZAMANI,,,SWALA C CHUO,,,SWALA NI efficiency ya kaz,,na kupata kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.