Ungejaribu kuweka details kidogo kama vile aina ya kazi, fani uliyo na uzoefu nayo, na ngazi pia. Hii inaweza ikarahisisha ili upate msaada kwa haraka.
Mkuu,
Kuoa au kuolewa ni zaidi ya haya yote uliyoyaandika hapa. Kumbuka kuwa ipo siku utazeeka na pengine ukapatwa na magonjwa ambayo yatahitaji mtu wa karibu sana kukuhudumia. Mtu wa kwanza ambaye ataweza kukuhudumia kwa moyo wote ni mke wako, then wanakuja watoto na mwishowe ndugu wa karibu...
Unakuta mtu hadi pete ya ndoa ananunua kwa michango ya watu. Sasa unakuta watu wanatoa kwa manung'uniko weee....unadhani hiyo ndoa itatoboa hata mwaka?? Mimi siwezi kuchangisha senti ya mtu aisee. Bora nisifanye sherehe kabisa.
Habari ya muda huu wakuu!
Ninahitaji smart TVs affordable na brand nzuri kwa bei nzuri. Kama unafahamu duka au wakala wa kuuza TV zenye ubora (original) na warranty halisi naomba unisaidie.
Shukrani.
Nashukuru sana mkuu!
Nimekuelewa vizuri sana ndugu. Asante kwa muda wako kunielewesha nini cha kufanya, yani umenipa somo zuri sana.
Ngoja nizunguke, nikae chini nifanye mchanganuo mzuri na wa kina.
Asante sana tena sana!!
Wakuu, naombeni ushauri ndugu zangu mliobobea kwenye bishara za hapa na pale hasa jijini Dar es Salaam. Mimi nina mtaji wa milioni tano tu kwa sana ambao nataka nijaribu kuuzungusha kwenye biashara.
Naombeni mawazo nifanye biashara gani ambayo itanilipa vizuri ukiachana na changamoto ambazo...
Mkuu....unajua kuwa ore ni mwamba unaokuwa na madini? Yani mwamba ghala ambao haujachenjuliwa kutolewa madini.
Kama unataza zinc au lead yenyewe basi toa hiyo ore ya mbeleni. Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.