Lakini mbona suala la feisal TFF walikuwa upande wa Yanga? Maana FEI baada ya kuvunja mkataba Yanga walikimbilia TFF ambapo Feisal alifeli mara 3 zote aliambiwa ni mali halalai ya yanga. Kama anataka kuvunja mkataba akubaliane na Yanga kwanza? Ila sasa kuna wacha-mbuzi na wacha-kuku ndio walizingua
Mkataba wa messi ndio ulikuwa balaa simba, yaani jamaa alikuwa anapewa ugali na dagaa baada ya kuwasanua simba wakaja na mkataba wa uongo hata wa chief mangungo afadhali hahahah
Mnafiki kolozdad wewe, simba akishinda mechi inayokuja ni kwa sababu ya maelezo kutoka juu, eti achukue ubingwa mavi ya kuku. Last season si alishinda mechi ya pili je alichukua nini? Wao kama wanayo hiyo spirit kama unavyojinasibu tungeona kwa ihefu na mashujaa
Simba anaweza kutufunga kama ilivyokuwa msimu uliopita ili kunusuru mpasuko zaidi ila sio kuchukua ubingwa. Ata draw mechi nyingi na hata kufungwa huo umafia wamengeutumia kwenye mechi na mashujaa tuondolee unafiki wako hapa wa kujifanya unajua kila kitu.
Ulitaka waanze kuwaporomoshea matusi akina Hersi kama wafanyavyo wanathimba. Timu ikishinda anasifiwa chama na kibu d ila ikifungwa matusi kwa mangungo wa msovero na try again?
Hii ni kazi ya mashabiki, ndio kazi yetu kupiga kelele focus tunaiachia timu. Kumbuka hapa tunatambiana tu simba na yanga basi. Kwahiyo kila mtu anatanua msuli wake. Haina maana ya kubadilisha jambo lakini walau tukiongea nyongo zinapungua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.