Wewe si team Magufuli toka zamani? na ulisema mtatangaza ushindi mapema kabisa kabla ya kujua Chadema wanafikiria nini? sasa tuachie Fisadi wetu si tunajua tutamtumiaje kuirudisha nchi yetu kwenye misingi.
Mi nilitaka kujua tu lakini nimeshindwa kupata jibu la maana, maana kama ni mzalendo kwa nini asitumie majina ya chama kama anavyojibainisha? au kwa nini asitumie majina yake tujue moja?. maana anasema yeye ni maskini kama mimi.
Kwa wale mlio ndani ya ACT wazalendo naomba mnisaidie kutafuda taarifa kuhusu umiliki wa magari hayo. Nina uhakika hayajasajiliwa kwa jina la ACT wazalendo, Most likely yanamilikiwa na Zitto mwenyewe au familia yake.
Nawasilisha
Nawewe umekuwa jini? jifunze kuwa na kumbukumbu juzi hapa umesema wewe ni mwana ubungo na mmemchoka mnyika, leo hii umekuwa mwana tunduma? tunduma hatuna mtu kama wewe.
Kwa huu ufukara mliowalazimisha kuishi nao ni watanzania wangapi wana umeme na/au kumiliki tivii we mburula!! wakati mwingine muwaonee huruma watanzania wenzenu
We Mbwiga hivi kumjengea mwanao ghorofa na kumpa elimu bora kipi bora? No matter ndo maana sisi watanganyika hatuendelei chini yenu mamburula wa Magamba
Halafu mimi na wewe tulikuwa chama kimoja!!!
Mbaya zaidi wewe ulikuwa kiongozi wangu??
Mungu naomba uniepushie mbali hii isije kujirudia maishani mwangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.