Mbona kimya,hamsemi chochote (i stand to be corrected) kuhusu wabunge kulipwa milioni 160 za mafao ya kustaafu.Au fedha hizi kwenu ni ndogo.ONYESHENI UZALENDO WENU KTK HILI.
Jamani kama kuna wakati wa kuonyesha uzalendo kama watanzania ndio sasa,tuungane wote kupinga upuuzi huu wa wabunge kulipwa milioni 160,hilo ni ongezeko la zaidi ya asilimia 200,kutoka milioni 43 walizokuwa wakilipwa mwanzo kama mafao ya kustaafu ubunge baada ya miaka...
we jamaa kauzu kishenzi tangu ujiunge 2011 hujalike any comment
Join Date : 18th November 2011
Posts : 237
Rep Power : 461
Likes Received281
Likes Given0
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.