haya naona mapya sana na hadi naona nami niingie niseme jambo ambalo nafikiri nalifahamu na ningependa wana jf tuchangie mawazo.ninazungumzia kuhusika kwa huyu ridhiwani maana ni muendelezo ambao leo tunao.
kwanza niwape pole watanzania kwa haya wanayoyaona ya ufisaidi ambao magazeti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.