Hawana akili ya kujihoji emu fikilia familia yako,ndugu ka unategemewa na mda wako na takafakari utapata nn kwa kuandamana kwa upuuz ucokuwa na maana yeyote,ccm inawaandalia maisha watanzania na cdm n vurugu na fujo ndo maana hawatakuja kufanikiwa na wanelekea mwishn
Ivi kwa cdm mapinduzi n kumwondoa ccm madarakani? Watanzania hatutaki mapinduz hayo tnataka elimu kama ilivo japo c over night but gradually na tnaamin tutafika tu!tjipange na ccm daima!
MI NADHANI KUSEMA IFM NI CHUO CHA FAILURE UMEKOSEA,KWANI MWANAFUNZI NDO ANAFAIL KOZI UNAFUNDISHWA NA KUPEWA MAELEKEZO!! cio chuo!!naamini unakikubali na ungetamani! ILA HUO NI MTAZAMO WAKO NA KILA MTU ANA MAWAZO YAKE SABABU KUNA AMBAO NAO HAWAKIPENDI SAUTI!!! MTU ANAFUATA ALICHOKIOMBA!!!
KIRIHO SAFI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.