Majitu mengine MAPUMBAVU...... Eti jitu zima linapondea UDOM!!!!! Uwiiii ukifuatilia utakuta kamaliza bachelor yake TEKU masters MUM!!!! We c ndo ----- mzoefu. Nyooooo........ kichwa kikubwa ndani hakuna kitu.
Wengne wanajshaua tu, na bachelor zao za MU na UDSM vyeti wanalalia chini ya godoro...
nicpo dekezwa hiyo ndoa nitaiona shubiri.
kama nakupa heshima yako kama mume sio boyfriend, kwanini usinidekeze?
ntaona unanijali kwakweli.
hiyo ya kikurya STUPID!!!!!!!
dah! i really enjoy the posts... but mimi navojua ndoa au mahusiano yanyodumu maranyingi wahusika wanakua ni watu waliofahamiana kitambo kabla hata ya kuwa wapenzi. unatafuta mchumba humu JF ukimpata mlemavu UTAMPENDA siku utakapoonana nae?? unampa ahadi kibao online, i luv u. unazmwaga...
anatafuta mchumba! iyo amri ya sita muibanjue yanini? akiwa mkeo mtaibanjuwa hadi utampenda mkeo..... au ndo uchumba wa zama hizi upendo unapimwa kwa kuitangua amri ya sita????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.