Source: http://mapenzibongo.blogspot.com/
Msaada kwenye tuta Mapenzibongo, Mimi nipo na mume wangu huu ni mwaka wa tatu saivi na tumebarikiwa kupata watoto wawili. Jana mume wangu amepata kadi ya Valentine kutoka kwa mwanamke ambaye simfahamu. Alikuja nayo mpaka nyumbani hajaifungua, na kwa...
Application ya scholarship ipo wazi mpaka March 31, 2010.
Sifa za mwombaji:
Kuwa raia wa nchi mwanachama wa Benki ya Dunia wanaotafuta kukopa.
Kuzaliwa baada ya Machi 31, 1970.
Miaka 4-5, kitaaluma na uzoefu unaopatikana baada ya shahada ya chuo kikuu, katika nchi mwombaji au katika...
Source:
http://tanzaniascholarships.blogspot.com/
The Julius Nyerere Master's Scholarship The University of Edinburgh will offer a Scholarship to a student from Tanzania for postgraduate Master's study in any subject offered by the University for the 2010-2011 academic session.
The Julius...
Nimekutana na hii blogu inaitwa http://tanzaniascholarships.blogspot.com/
ni blogu ambayo iko dedicated kutoa taarifa za scholarship zinazowahusu watanzania.
Ni vizuri kuwa na watanzania ambao wananapenda maendeleo ya elimu kwa kuanzisha blogu mbali mbali kama hizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.