ni noma...mimi sipendi kweli kulala na.mtu ila last year ikabidi nimsaidie dada flani hivi kwa imani kwamba dis year Mungu ataniona tu.thnx God nimepata chumba..ni majangaaaa
kabisa yani...inauma sana ukiangalia population ya wasomi haifiki hata robo ya population ya Tanzania nzima na bado serikali haitilii mkazo elimu ilihali ina uwezo wa kusomesha kila mwanafunzi tena buree
acheni mambo ya ajabu bhana..huo ndo mfumo ulivyo..mtu anauza ili apate cash apange au achukue room bora zaidi so sio mpango wala nini kumtukana huyo dada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.