Candid
Topic ulionzisha ni haki za msingi za mashoga , sio hi habari mpya unayoleta ya kuwasaidia kutoka huko walipo nani amekwambia wanataka kusaidiwa huko waliko wako fine na wanawachotetea wao ni haki zao za msingi , ungeazisha basi hiiyo topic ya kusaidia mashoga watoke walipo maana hizo...
Mimi nilikua najibu tu hoja ya mchangiaji ili kama anaona magay walaaniwe na ahame maana wataambukiza tabia, pia afanye hivyo hivyo kwa wazinzi, wanaotembea na wake za watu na watoto , sio kwamba nakubalina na alicho sema , maana kama kuhama atahama sana kila mwezi wako kibao au dhambi zingine ruksa
Hivyo hivyo na hao ambao wanaofanya ufulka nje ya ndoa au wanaotembea na watoto wadogo , waliozaa nje ya ndoa zao na walevi kwa sababu ya pesa au umaarufu wanashawishi hizo tabia zao waogopwe kama ukoma na ukiweza hama na walaaniwe hawafai
Kwahiyo kama hatufuati misaafu ambayo wengi ndio wanaiquote wakiwasema gays , niambie wanafuata nini na kumbuka kuna watu wamezaliwa hivyo na biologicaly proven chromosomes whatever na hao nao vipi ?
Utasema sana pinga tuu ninachosema fact after fact, sio matusi tuu , ******* ni binadamu kama walevi , wavuta sigara sioni bashing yao au kunyimwa haki
Nitawatetea sana I don't care about you or anybody else I just put fact mtu azipinge kwa facts na mjadala sio matusi, mnataka tuu watu wote...
Candid nimeuliza mbona kwenye dini hiyo hiyo utumwa umehalalishwa ? Kwwnye biblia imeandikwa wafiraji na wafirwaji hawatauona ufalme wa mungu , pia imeandikwa wasiokiri kwamba yesu ni bwana na mokozi wao hawataingia ufalme wa mungu na wote wana dhambi okay , sasa basi na waislamu nao watengwe na...
Hapo ndio nilipotaka ufike kwa hiyo wewe tatizo lako na magay ni afya tuu au kuna kingine maana kama ni afya kuna , wavuta sigara, wanywa gogo na madawa ya kulevya na hakuna mtu anawabash kama magay
Second afadhali umenijibu mimi sikujua ni gay maana nimekwambia na fanya tuu na mke wangu na...
Maandiko hayo hayo wanayotumia kubash magay yanasema enyi watumwa watumikieni mabwana zenu , uguse hapo uwaone wanavyokuwa wakal, tulibaguliwa kwa hayo maandikko tukafanywa watumwa tukafungwa minyororo, hayo hayo na sisi tunayatumia k kubagua mashoga , tuachie tuu tuchukuliwe tuwe watumwa and...
Watu wanatumia bibilia na kuran ku justify maana imeandikwa fine hapo waisilamu na wakristo wanaungana kuwafanyia ubaguzi magay, kiama pale watakapofuata bibilia na kuran hizo hizo kwa mambo wanayotofautiana na yako mengi tuu, tubaguane na huko ? Kwanini tuna pick na kuchoose wakati vitabu ni...
Candid,
Kuna watu wanazaliwa wako hivyo na nina mifano mingi tuu, kama kuna mtu alisoma forodhani primary miaka ya 70's anatakua anamjua kijana alikuwa anaitwa Tony , yaani tukiwa wadogo kabisa tulikuwa tunamwita kisura alikuwa ana tabia zote za kike , yeye saa zote yuko na dada yake hata...
For Gay Bashers
Sasa na sisi ambao tunapenda wake zetu watutie vidole tupo kundi gani, maana msipoangalia tutagraduate twende huko au na sisi ndio hivyo tena , I am just sick and tired of this gay bashing they are humans and wana right zao , mtaniweka kundi gani mimi maana naenjoy sana you...
Ni PM tuu nitakuunga uwe na ujuzi tuu wa utalaamu fulani unaohitajika , usijali kama cheti kikiwa kina GPA ndogo maana sijui hata kubwa ni ngapi au huna cheti una professional experience yote sawa
mapogolo
Damn you are good mambo yanaflow nimekukubali na uchambuzi wako , hivi ndio vitu tunavyotaka wachambuzi wenye mantiki
Pia nakumbuka kuna wakati Serikali ilipiga marufuku watu waliotoka seminary kuchaguliwa kwenda form V shule za serikali miaka ya 80s , maana walikuwa wanafaulu...
Jamanii aisee bongo kazi kweli kweli yaani freemason ni kama chama cha kawaida tuu , tuko kibao tunatoka kanisani na kwenda huko its just another networking associatio but mostly for business , watu waimani tofauti , sijui kama mtu akiwa yanga mnajali kama anaabudu shetani au mpagani, mimi hapa...
Sio hivyo dada yangu , watu wengi sana marekani hawafanyi hizo kazi ni uongo sana , watu wakiwa shule ndio wanazifanya kujipatia kipato , but mimi na watanzania wengi tuu hatujawahi kufanya hizo kazi huo ndio ukweli na watu hawaulizwi vyeti huku na mimi nilishangaa sana maana niliajiriwa mpaka...
Duu marafiki zako wote marekani ndio wanachofanya ? Ungekuja Diaspora Meetings za huku ndio ungejua watu wanafanya nini ? Hakuna kuosha vyombo wala nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.