Miaka miwili utakuwa imechanga miezi 24 ambayo ni cha mtoto sana.Sikushauri ufuatilie mafao kwani sijui kuna fao gani hapo labda la kukosa ajira lakini sijajua undani kwani inaonekana umefukuzuwa na sijui ni kwa sababu gani.
Nakushauri tafuta kazi kwingine huko mbeleni michango itakuja...
Lazima watuchukie kwani kiuhalisia ni kwamba sisi ndio tuliwauza kwa wazungu.Kipindi kile machifu walikuwa wanauza wale wanaoonekana kuwa legelege na wenye akili mbovu.Ndio mana hata huko waliko mpaka leo majority wapo wapo tu.Hawataki elimu ndio maana kutoboa maisha haiwezekani na kuishia kuwa...
Nakwrnda kwenye quote ya kuwa zodoa Yanga.Kusafiri kea sasa kunataka mzunguko mkali sana na kama myu anakataa options zilizopo anataka direct flights.zipo ? Makocha wamepanda maroli toka Tomania mpaka wapi sijui ndo wakaokoteza ndege.Kijogoo wa simba naye hivyo hivyo kaja na mashua na vitu gani...
Tuna bahati hata kwa wao kuplan route ya Africa.Nimeangalia routes watakazoanza giants airlines za Uarabuni hakuna hata ruti moja ya Africa kuondoa SA.
Muda tu ndo utatupa ukweli.Ila huwa nashangazwa na hivi vimashine vinavyopima joto.Unapima kinasema una joto nyuzi 32.4.Si joto la maiti hilo ? Yaani sijui hata kama inawezekana kuvifanyia calibrations
Kuna coment juu hapo nadhani haijakaa sawa.Orchestre Kamale , ORchestre Les Kamalee pamoja na lipua lipua na orchestre Veve zote zilikuwa chini ya kampuni moja ya Verckys Kiamungana Mateta
Yaani kweli mtu anasema Inspecta General amuombe msamaha mtu wa chini yake! kuna msemo unasema mkubwa huwa hakosei hata kama yy amewahi fanya alichokemea lkn mkuu ni mkuu tu.Yaani ukute Rais anamuomba msamaha mkuu wa mkoa kivipi ?
Wakio South wanadai kesi imefunguluwa na jamaa anayejiita Captain Roy mmiliki wa DAS Air.Wengine wanasema kuna mtu anajifanya Capt Roy tapeli flan toka Pembeni ya Ziwa Victoria anayeishi SA.Wengine wanasema case imefunguliwa na SAA .Ila hawa SAA waluwahi kuiba vifaa vya maintenance toka Hangar...
Aliyrqnzisha hii thread sijui kama amewahi kufanya research kuhusiana na Historia ya ATCL hata kwa kusoma tu Wikipedia.Underperfimance ya Air Tanzania kwa ujumla ilisababishwa na Menejiment isiyoridhisha na masuala ya mtaji mdogo .Kwann nn ndege wamekodishwa ni ukweli kwamba wana madeni mengi...
Nimepita mahali tofauti tofauti na kukutana na malalamiko ya abiria wa shirika letu pendwa kwamba hamkurusha ndege kwenda destination mliyozindua juzi tena bila maelezo yoyote.Nachelea kutoa conclusion ngoja tusubiri maelezo yenu
At tge end of the day nimeifuatulia hiyo ndege flightradar24 na inaonekana iriruka saa 5 na dk 24 usiku kurudi Dar.Na hakika rubani atakuwa alitoa maelezo juu ya tatizo lililokuwepo kwani aborted take off sio jambo la juu juu tu.Na pua ATCL naamini watakuja na ya kwao baada ya kupata report ya...
sijaelewa vzr.Ndege ilishakwenda mpaka full thrust aka abort kabla ya v1 ? au alikaa kwenye runway na kurudi Apron ?Ww ulikuwa abiria au Msindikizaji ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.