hallow wana jf hongereeni sana mliopata loan pamoja na mliokosa tumshukuru mungu,kikubwa ni kwamba tunaenda kupambana na kipi tulichokibakisha,mimi nilitamani kusoma pharmacy hapo mwanzo lakini tcu wallinipeleka bs of science in chemistry hapo udsm,moyoni bado nataman pharmacy je nitaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.