1.je ni kweli kampuni zake ukiacha kazi unafunguliwa mashtaka ya uwizi??
2.je,na yeye ni mmojawapo wa kiongozi anayewatetea wahindi wanaoishi nhc kwa muda mrefu wasitolewe kwenye nyumba hizo na wauziwe??
3.je ni kweli huwa anawapa mikopo watu wenye asili ya kiasia kwa kuchukua hati zao za...
hivi kwanini watanzania hatuna uzalendo wa kuheshimu watanzania wenye asili nyingine??hakuna nchi duniani inayoendelea na wazawa peke yake ndio maana toka zamani wakulima na wafugaji walikuwa wanahama hama ili kutafuta maendeleo,sasa mimi naona itungwe sheria mtu yeyote atayemwambia mtu wewe sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.