Search results

  1. M

    Yaliyojiri Agosti 4/2015 katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Ukumbi wa Mlimani City, DSM

    Tafadhali naomba mnifahamishe,Lowasa na Mgombea mwenza wamepitishwa kugombea na Mkutano Mkuu wa Chadema,vyombo vya habari vinaandika ukawa wapata mgombea wa urais,mbona Ukawa hamjakutana kutoa baraka zenu au ndo hivyo tayari mmeshamezwa na Chadema,nyie kama Ukawa ushiriki wenu ukoje katika...
  2. M

    Yaliyojiri Agosti 4/2015 katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Ukumbi wa Mlimani City, DSM

    Mkutano mkuu wa Chadema umempitisha Lowasa kuwa Mgombea urais na Juma Duni Mgombea mwenza,vyombo vya habari vinaripoti kwamba Lowasa amepitishwa kuwakilisha Ukawa,mwanzoni mlitwambia kwamba baada ya kila chama kupendekeza jina ka mgombea,Ukawa wangekutana na kutoa jina moja,hata kama mlikwisha...
  3. M

    UKAWA watangaza rasmi kususia vikao vyote vya Bunge vilivyobaki kutokana na ukiukwaji wa kanuni

    Wazee wa matamko ambayo siku zote hatujui mwisho wake huwa ni upi,endeleeni na matamko,Bunge linasonga mbele,mwisho wa siku Rais atasaini miswada na hatutawasikia tena
  4. M

    Bunge limehitimisha upitishwaji wa Miswada ya mafuta na gesi asilia, anasubiriwa Rais kuisaini

    Hongera Bunge letu kwa kupitisha Sheria hizi,namuomba Rais azisaini haraka ili tuanze kunufaika na Raslimali za Nchi yetu
  5. M

    Hakuna Uwezekano wa Bunge kupitisha Sheria za Gesi, wanapoteza Muda!

    Mwanasheria,Miswada imeanza kupitishwa na itakuwa Sheria
  6. M

    Wabunge wa CCM tunaowaheshimu mko wapi?

    Kama anayajua hayo kwa nini hoja zake hizo hakusubiri apinge akiwa ndani ya Bunge ili kuwe na kumbukumbu kwenye Hansard,ili hao Wabunge wa bunge lijalo waseme Mnyika aliwahi kusema hivi na kweli imetokea,vinginevyo hana hoja zaidi ya kutafuta umaarufu nje ya Bunge,hoja hupingwa kwa hoja na siyo...
  7. M

    Zitto awaunga mkono UKAWA

    zito ndo nani?
  8. M

    Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge yawaadhibu wabunge 5 wa Upinzani

    Hii Miswada hawa jamaa walikuwa wanalia kila siku iingie Bungeni,hasa muswada kuhusu masuala ya gesi,leo miswada imeletwa wanaikataa,kwa nini wasisubiri ikasomwa wakapinga kwa hoja,hofu yao ni kuwekwa masuala ya uwazi kwenye sheria hizi jambo ambalo linawafanya wakose hoja za kuongea kwa wananchi
  9. M

    PINDA: Ukiwa mkaidi usilalamike pale kichapo kitakapokufikia

    Waziri Mkuu Mh Pinda amesema nchi inaendeshwa kwa misingi ya sheria,yeyote atakayeleta vurugu na fujo na akazuiwa na akakaidi atashughulikiwa, naunga mkono agizo hili,
  10. M

    Siku 21 za Kinana kwa Msigwa Bado?

    Hivi yale Maandamano aliyotueleza Mr Zero kwa kuweka siku kadhaa kuhusu Rasimu ya Katiba mpya,na yale ya kumtaka Waziri wa Elimu ajiuzuru yameishia wapi vile
  11. M

    Vurugu kati ya CHADEMA na CUF juu ya USHOGA zasababisha Bunge kuahirishwa

    CHADEMA ni ovyo,hiki chama sijui kwa nini kila siku ndo wanakuwa waanzilishi wa vurugu
  12. M

    Muhongo bungeni: Waliopata elimu wakaenda kuwapotosha wananchi ni wahaini

    Waziri wa Nishati na Madini amewambia chadema kuwa wajifunze kutengeneza bajeti kwa kutumia takwimu katika hoja zao na siyo porojo,matusi,kejeli na maneno yasiyo na maana kila wanapowasilisha bajeti zao,jaman chadema karne hii haitaji porojo.
  13. M

    Waziri Sitta ahitimisha hotuba ya makadirio ya Wizara yake, awashambulia CHADEMA!

    Nampongeza sana Mh Sitta kwa hotuba yake ya majumuisho ya hotuba ya bajeti yake,ameongea maneno machache lakini yenye ukweli kwa chadomo
  14. M

    Waziri Sitta ahitimisha hotuba ya makadirio ya Wizara yake, awashambulia CHADEMA!

    Mh Sitta amesema kuna chama cha siasa kila kikifanya mikutano ya hadhara lazima vurugu zitokee,hivi ni chama gani hiki,naomba mnisaidie
  15. M

    Bungeni marufuku kujadili swala la gesi Mtwara!

    Utaumbuka tu na umbea wako
  16. M

    Watu wabishi: Bado wanasubiri maisha bora

    Kwa hiyo unatutaka tufanye nini,ukitaka maisha bora fanya kazi yatakuja yenyewe,maisha bora hayaji kwa kulalamika kwenye mitandao
  17. M

    Mnyika na kanuni za bunge

    Hahahahaaa chadomo nilijua mtakuja tu kama mbogo,
  18. M

    Rai Yangu kwa Mh. Pinda na Rais Kikwete, Tunaomba Busara Zenu !

    Rais aende Mtwara,nini maana ya kuwa na Mawziri wa Wizara husika
  19. M

    Mnyika na kanuni za bunge

    Mh Mnyika,hivi ni kweli kanuni za Bunge huzijui,zinakupiga chenga,una haraka au ndo ile ya kutaka uonekane ukiongea na picha kesho ionekane ukurasa wa mbele wa Tanzania daima,namshukuru Mwenyekiti aliyeongoza Bunge leo Mh Mhagama kwa kuwa imara na kuzima miongozo yako na kuifafanua kwa...
  20. M

    Ruzuku kwa mwezi: CCM milioni 800/-, Chadema 200/-, CUF 117/-

    Huna hoja,eti unahoji uanachama wako sababu ya luzuku ya CCM,subiri 2015 utume maombi ya kugombea ubunge kwenye gazeti la tanzania daima
Back
Top Bottom