Fundi selemala alipewa oda ya kuchonga jeneza kwenye msiba ambao ulikuwa niwakusafirisha kwenda kuzika mkoani. Alijitahidi kuchonga jeneza faster lakini ikashindikana akakamilisha kazi usiku. Alipomaliza akawapigia simu wafiwa kuwa jeneza liko tayari nao wakamwambia kodisha gari ulilete tutakuja...
Mbona mi naona fresh tu! Kama wanataka na mbwa ziwe na itikadi kwani kuna ubaya gani? Mimi mbona mbwa huwa namchukulia poa tu, kwanza ni mlinzi shupavu labda ingekuwa paka ninge urgue maana yeye anakismati cha kupendwa na wachawi
Kiongozi hapo kwenye red kasi imeongezeka sana! Nilikuwa kijiji flan huko Wilayani Magu about 28kms interior bumby road from the main road to Musoma lakini nilikuta wazee wametundika kwenye nyumba zao bendera za CDM! Sikuamini but that is the situation
Hivi Somalia kuna biashara gani mpaka izalishe matajiri wa kuja kuwekeza Tanzania? What i know ni kwamba hawa jamaa wanapasuana usiku na mchana na wanashida vibaya mno mpaka wengine wanaamua kupakimbia kwa kupakiwa kwenye makontena kama unga wa ngano.
Ina maana hizi opportunities...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.