Ushauri mzuri sana utt pesa yako haipotei na kila siku wanakuwekea faida yako Wana mobile app yao. Muda wowote unatoa siku 3 tu unachukuwa mzigo wako wote. Ni sehemu sahihi kuliko bank especially mfuko wa liquid
Tengeneza group la whatsapp au telegram watu wengi wako humo. Jamii Forums ni nzuri pia ila siyo wengi wanasoma vitu vya huku. Tengeneza then uweke link mtu akitaka ajiunge
Hii nchi wajinga ni wengi sana, mtu akiamka analinganisha miji mara hotel, hivyo vitu vinakusaidia kwenye maisha yako?? Kwa mfano watu wote wakikubali dodoma ni kubwa kuliko then what? Hiyo itakusaidia nini kwenye maisha yako?? Kuwa unaleta kwenye jukwaa vitu vyenye subsistence na siyo huu uhalo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.