poleni wote mlioguswa na msiba huu
Mwanamziki aliyepata kutamba na Bendi ya FM Academia ya
jijini Dar es Salaam, Rapa, Haristot Shungu ameuawa nchini China huku
kifo chake kikitawaliwa na utata mkubwa.
Kwa mujibu wa chanzo makini kilichopo nchini China, rapa
huyo...
Siku zote nimekua nikisikia kuwa waislam wanaonewa,wanahujumiwa, wananyimwa haki zao, wanadhulumiwa sasa kwa hapa tz sijui hata nijieleze vipi kwani mfumo wa maisha na imani zao ndo unaowapeleka huko wanapotaka kuwa. Mimi nina ndugu zangu kwenye familia ni waislam na sisi ni wakristo sasa...
pamoja na kuwa walimu katika serikali iliyoko madarakani tumebezwa mpaka na viongozi wa ngazi ya juu kua wanajua kua "we are underpayed" na kama tunaona kazi hii ni ngumu tuache kazi, still hata jamii yote inayotuzunguka haithamini kabisa swala la mwalimu sijapata sababu hasa ni nini? the way u...
kunasababu nyingi ambazo zmechangia kwa wanafunzi kufeli mtihani kidato cha nne mwaka 2012/2013 lakini mimi kama mwalimu ambae ni mtaalam katika fani hii navyojua kuwa kuna kitu kinaitwa mhamo wa ruwazo "Paradigm shift" yaani kunamabadiliko kidogo juu ya kujifunza na namna ya kupima kama somo...
kwanza kwa nini hawaweki bumps? unajua kuanzia pale ben pub mpaka kituo cha kanisani kila mwaka lazma tupoteze wenzetu wengi tu hivi kweli serikali gani hii kipofu ktk karnee hii ya digitali?
jamani huku wizara ya elimu ni kichaka cha vilaza yani tunao kama huyo mahofisini wamejaa kibao! halafu kwani mishahara haitoshi? mnadanganywa msiojua ni kwamba huku kunawatu wanpandishana vyeo kwa kujuana kuna kaorgan kanaitwa tsd hako ndo kanafanya mwl alietoka chuo kikuu tena bright teacher...
mh! hiv kweli unazaa au unapata mtoto halafu unategemea bibi yako akulelee! kukosa plan kunaweza fanya m2 awe na sababu nyingi na zote zikaonekana sawa kwa mtizamo wake lakini kulea ni kulea tu! hakuna cha generation wala tehnology hapa! you might have knowlege but if u lack wisdom u r almost a...
Kupenda kila mtu anaruhusiwa, lakini baada ya kupenda unachukua tahadhari gani? watoto wengi kuanzia miaka 14...... wanajikuta wanatumbukia kwenye ngono ambazo hazina kibali hivyo kufanya maisha yao ya shule kuwa hatarini hii ni kwa sababu tu eti sisi utamaduni wetu hauruhusu familia au jamii...
mimi bnafs naangalia wapi wanakosea na bado nafanya kazi kama mtumishi wa umma inapobidi nasaidia kwani semina zote zipo mashuleni ambako ndipo walimu tulipo.Madawati, viti vya kukalia huduma ya choo, breakfast, stionary na wanapogota inabidi waseme. Kwa ufupi mm naelewa mipaka ya siasa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.