Search results

  1. N

    Waheshimiwa Wabunge Wetu na Ndugu RAIS, ILI KUFUTA FOLENI ZA MAGARI DAR ES SALAAM

    LABADA WEWE UNATAKA HILO LITOKEE ILI WENYE MALI WAENDELEE KUWA NAZO NA WASIONAZO WAENDELEE KUPOKWA HATA KILE WALICHONACHO. FIKIRIA MARA MBILI ZAIDI KWA NIONAVYO MIMI HIYO SI NJIA SAHIHI YA KUPUNGUZA FOLENI NCHINI TZ:angry:
  2. N

    Niionavyo google baada ya miaka 10

    USEMACHO NI KWELI. NA NI KITU CHA KUJIVUNIA KWA HIYO KAMPUNI NA MWANZILISHI WAKE PAMOJA NA WAFANYAKAZI WAKE. JE SISI TUNA KIPI CHA KUJIVUNIA? APO WATU AMBAO WAMEJITAHIDI KUBUNI VITU VYA KUITANGza tanzania yetu lakini hakuna ushirikiano kutoka kwa watu wenye uwezo wa kusaidia hilo.:A S-heart-2:
  3. N

    Dr. Ulimboka yupo mafichoni, kuzungumza wakati wowote!

    Bora aongee ili tuujue ukweli. Maana mkenya kakamatwa kwa tuhuma za kuhusika na kumteka dokta, hadi sasa hakuna information yoyote ya kinachoendelea. Kimyaaaaa. Je huko aliko kuna ulinzi wa kutosha?
Back
Top Bottom