LABADA WEWE UNATAKA HILO LITOKEE ILI WENYE MALI WAENDELEE KUWA NAZO NA WASIONAZO WAENDELEE KUPOKWA HATA KILE WALICHONACHO. FIKIRIA MARA MBILI ZAIDI KWA NIONAVYO MIMI HIYO SI NJIA SAHIHI YA KUPUNGUZA FOLENI NCHINI TZ:angry:
USEMACHO NI KWELI. NA NI KITU CHA KUJIVUNIA KWA HIYO KAMPUNI NA MWANZILISHI WAKE PAMOJA NA WAFANYAKAZI WAKE. JE SISI TUNA KIPI CHA KUJIVUNIA? APO WATU AMBAO WAMEJITAHIDI KUBUNI VITU VYA KUITANGza tanzania yetu lakini hakuna ushirikiano kutoka kwa watu wenye uwezo wa kusaidia hilo.:A S-heart-2:
Bora aongee ili tuujue ukweli. Maana mkenya kakamatwa kwa tuhuma za kuhusika na kumteka dokta, hadi sasa hakuna information yoyote ya kinachoendelea. Kimyaaaaa. Je huko aliko kuna ulinzi wa kutosha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.