Jamani ni jambo la kumshukuru Mungu sana kwa kumrudisha huyu kijana wetu akiwa hai.
Na wahusika wa tukio zima watajulikana sasa,nadhani huko waliko matumbo yanawaka moto.Mungu alitaka kuwaumbua tu.Wajiandae sasa.Hawana utu kabisa,kumpiga mwenzao vile waliona sawa? Wataipata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.