Mbona Nape anataka kuanza vibaya!! Mtu mzima akifikia mahali anafananishwa na Makamba na Tambwe Hiza huko ni kutukanwa bila staha. Ajenge HOJA hata kama ni kweli Dr Slaa ni Fisadi, yeye hana serikali,hivy fedha za serikali ni salama kama CCM na Serikali zake wangekuwa wasafi. Baya zaidi ajenda...
Mimi namjua Kardinali Pengo. Alikuwa Head Prefect wetu pale Seminary ya Kaengesa. HAJUI maana ya neno WOGA.
Kuna wakati tuligoma(kumbe hata wakati huo kulikuwa na migomo ya wanafunzi), akaona haki ya mgomo wetu akatumia busara kuchachamaa na sisi mbele ya mapadri viongozi wa seminary.
Mgomo...
KIKWETE hana uwezo wa kuwa na udini wa aina yoyote. ni RAIS asiyejali tu mambo ya nchi. TUKUMBUKE siku alipokwenda Gongo la Mboto-alionekana akipiga stori na mkuu wa majeshi huku wote wawili wkicheka cheka wakati wanangoja briefing ya kilichotokea. NCHI NZIMA IMEJAWA MAJONZI kwa wahanga wa...
Tunashangaa, lakini walipotueleza Chadema kuhusu upungufu wa Kikwete na chama chake, tukasema wao ni kutoka North, na baadaye ati ni wakatoliki. Kikwete akafilisi Hazina ya nchi akitaka achaguliwe, tukasema Hazina ni yake. Tujute tu na kuapa kutorudia makosa tuliyofanya. Nina hakika ukata huo...
Cdm wafanye kile wanachokiweza sana. Waende kwa wananchi wakaseme yale yanayotoka kwao na jinsi wanavyozibwa na ccm na spika wao. Tutawaelewa na kusubiri 2015 kuwapa haki ilioyopokonywa na ccm 2010
Ukiona Katibu wa chama chochote anapingana na wanachama wenzake, tena wenye heshima kubwa katika jamii,ujue bomu karibu kulipuka. Watoka nje ya CCM tunajiuliza Kikwete alipenda nini katika juha huyu wakati anamteua na anaendelea kuona nini ndani ya mtu huyu mpaka asichukue hatua yoyote...
Hivi tunashangaa nini na haya maneno-hiyo ndiyo quality ya wateule wa JK. Ni lazima wafanane naye au wawe wajinga zaidi kidogo. Tujikumbushe busara hizi za RAIS wetu:Wasichana wanao pata mimba shulenii wana kihorohoro; Rais alikuwa anatania alipoonekana kuunga mkono watoa rushwa mbele ya maaskofu
Rais hawezi kujisemea juu ya hili, maana walipomshauri kufanya akafanya bila kutafakari maumivu ambayo nchi ingepata, na sasa anangopja washauri wake wamwambie akaseme nini, maana yeye mwenyewe kama alivyo Makamba wake ni watu wa kulipuka tu. HIVI CCM WALISHINDWA KUSIMAMA NYUMA YA MTU MAKINI...
Nchi zilizostaarabika zikisema polisi wana taarifa za kiintelijensia huwa wanawashughulukia hao wanaosemekana kupanga mipango ya ghasia, lakini hawazuii maandamano ya amani. Hapa kwetu imekuwa kisingizio cha ubeberu wa polisi na wa kikwete. Kikwete atatambua lini kwamba mabavu ya dola hayamalizi...
Magufuli ni mlevi wa madaraka siku zote, na ameingizia nchi kwenye matatizo makubwa. Alivunja Nyumba Mwanza na serikali ikaamriwa kulipa. Alitoa nyumba na kumuuzia mtu asiyestahili, aktetea sehemu ya wazi kumilikiwa na mtu binafsi-Rose \garden- hivyo kuilazimish serikali kulipa fidia pale...
Kama kweli ni ya kwke basi ni mwizi. Jamaa kamaliza chuo miaka sawa na urais wa baba yake, so kama yeye hakuiba basi baba yake kafanya madudu kwa niaba yake
Isipokuwa UHURU, MZALENDO, HABARI LEO na DAILY NEWS, vyombo vingine vinaogopa kupoteza wasomaji maana vimegundua kwamba Watanzania hawataki utumwa wa mawazo, na HAWATAKI KABISA KUDANGANYWA
Ndiyo maana sasa nguvu za dola zinatumika badala ya nguvu ya kisiasa,na visingizio viko tele, cha kipumbavu kuliko vyote ni hiki cha "taarifa za kiinteligensia" Sasa twaelewa kwa nini alipozungumzia madai ya wafanyakazi alipambwa na majeshi.Tumshukuru Mungu NEC ilitmiza wajibu wake kwa mwajiri...
Kaulimbiu inayosahaulika haraka inaonyesha mapungufu ya walioibuni-kwamba haikuonyesha mwelekeo mahsusi, hakukuwa malengo yenye manufaa kwa nchi, na kwamba ilibuniwa kuwanufaisha wenyewe tu. Vyama vikianza kuibiana kaulimbiu maana yake haviongozwi kwa maslahi ya nchi bali kwa nia yao ya kushika...
Hata Pinda alisha kuona mkanganyiko uliopo kwenye Jiji hilo, lakini pamoja na yote hayo Diallo wa Mwanza naye anataka nako huko kuwe mkanganyiko huo huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.