masuala ya ushabiki wa chama ni ubinafsi...huwezi ukamsifia werema kwa lolote....kwanza alikua jaji wa mahakama ya kazi...then akateuliwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali...mhimili wa serikali na mahakama unaingiliana....shame kwa werema ...shame jkwa aliemchagua.....#NO BALANCE OF POWER AT ALL
cdm kuzungumzia matatizo ya rushwa haitoshi...je wakichukua nchi watachukua hatua gani....kushuka kwa elimu....watachukua hatua gani pia....ukosefu wa walimu.....wataumia njia za chama tawala....au kuna njia mpya...je na kama njia mpya ni zipi....DAFTARI LA WAPIGA KURA NALO LIMECHANGIA CDM...
IN our country they changed the meaning of public interest....maana kuwa mikataba ni siri kwa manufaa ya umma....umma upi...viongozi au wanaanchi.......mikataba yote lazima ile inakua approved na bunge.....kuwe hakuna siri....yoyote kwenye mikataba....tanzania tuna madini mengi....kwanini...
daftari la kudumu la kupigia kura lilelile...vijana wangapi wamefikisha umri wa kupiga kura.....hawana vitambulisho....hakuna uboreshaji wa daftari mara kwa mara....alafu unashangilia ushindi upi na kwa lipi na kwa manufaa gani....ili iweje...:confused::confused:.UKOSEFU WA UKOMAVU KISIASA
jamani kila madini yanachimbwa..........vizzi vijavo vitanufaika na nini.............jamani jamani ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.uiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii:A S angry:
watu wanajua haki zao...mtu mzima hawezi akadai haki yakeukasema anatumiwa...UDA umepoteza mwelekeo kama jina lako...kwa kirefu usafiri dar es salaaam(Uda)........REBIRTH
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.