Habarini za masiku bandugu nafrahi kukutana na nyie tena siku kama ya leo nafikiri mko poa niwape pole wale wote waliopatwa na matatizo ya aina yyte ile niwape moyo na nawashauri kutokata tamaa Allah yupamoja nasi
Mpigie kura ARABELA aweze kuibuka mshindi kwenye kinyan'ganyiro cha miss CHIT CHAT asanteni kwa kunielewa piga kura uwezavyo
Ahsanteni kwa kunisikiliza naombeni ushirikiano wenu
Nimewakumbuka sana wana jamvi hope mko poa na mnaendelea na majukumu zenu za kila siku nichukue nafasi hii kuwapa pole wale wote waliopoteza wapendwa wao na wale wote walifikwa na magonjwa tofauti niwape tu moyo wa subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu ALLAH awape wesi na nguvu warejee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.