Search results

  1. NyotaMalaika

    Mahakama Kuu Malawi yaamuru kura kuhesabiwa upya baada ya malalamiko ya wizi

    Mahakama Kuu imeiamuru Bodi ya Uchaguzi kutotangaza matokeo ya Urais hadi kura kutoka kwenye theluthi ya Majimbo zirudiwe kuhesabiwa Hii ni baada ya chama kikuu cha upinzani, Malawi Congress Party(MCP) kwenda kushitaki wakidai kuwepo hali ya sintofahamu katika matokeo ya majimbo 10 kati ya 28...
  2. NyotaMalaika

    Jaji Samatta: Rais hana kinga kwa mambo aliyoyafanya akiwa Rais bali yale aliyoyafanya kama Rais

    Hayo ni mambo ya nadharia tu. Praktikali hayawezi tokea
  3. NyotaMalaika

    Mjadala: Mapambano dhidi ya rushwa katika vyombo vya dola vya utekelezaji wa sheria na utoaji wa haki

    Huu mjadala ungependeza sana ungefanyika baada ya ripoti ya CAG kutoka
  4. NyotaMalaika

    Kufuatia uamuzi wa kesi ya Sheria ya Huduma za Habari, Serikali kukata Rufaa

    Serikali kukatia rufaa uamuzi wa Mahakama ya Afrika Mashariki kuhusu vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari ambapo imetakiwa kuhakikisha vinaendana na Mkataba wa Jumuiya Ya Afrika Mashariki Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema Sheria ilitungwa na...
  5. NyotaMalaika

    Comoro: Kiongozi wa Upinzani akamatwa, milio ya risasi yasikika kwenye kambi ya jeshi muda mfupi baadaye

    Gunfire was heard near the main military base in the Comoros capital on Thursday, hours after opposition candidates announced plans to unseat the president whose re-election this week they reject as fraudulent. President Azali Assoumani was declared the winner in Sunday’s election with more...
  6. NyotaMalaika

    Mali: Wafugaji 134 wauawa, Al-Qaeda wahusishwa

    Watu wenye silaha wameua takribani wafugaji 134 toka kabila la Fulani, katika shambulio la kikabila Mauaji yametokea katika vijiji vya Ogossagou na Welingara huku Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likiwa limetembelea Mali ili kupata suluhu ya machafuko yaliyosababisha vifo vya mamia ya raia...
  7. NyotaMalaika

    Rukwa: Waganga wa Kienyeji Wasio na vibali kukiona cha moto

    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo amemuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa ACP Mathias Nyangi kuhakikisha anafanya msako wa waganga wa kienyeji katika mkoa na kuwakamata wale wote wanaofanya uganga wa kienyeji bila ya kuwa na leseni halali za kuwaruhusu kufanya shughuli hizo. Ametoa...
  8. NyotaMalaika

    Al Shabaab wavamia jengo la Serikali na kuua takribani 11 akiwemo Naibu Waziri

    Wanamgambo wa Al-Shabaab wavamia jengo la Serikali Jijini Mogadishu na kuua watu takribani 11 akiwemo naibu waziri wa ajira. Shambulio hilo la risasi lilitokea muda mfupi baada ya shambulio la kujitoa mhanga kwenye gari lililotokea karibu na jengo hilo. Al-Shabaab wamekiri kuhusika na...
  9. NyotaMalaika

    CUF kuwachukulia hatua wanaochoma kadi na bendera zao

    Chama cha Wananchi (CUF), Wilaya ya Tanga, kimefungua kesi mahakamani kwa ajili ya kuwachukulia hatua za kisheria waliokuwa wanachama wa chama hicho waliohamia Chama cha ACT- Wazalendo kwa madai ya kuchoma bendera na kadi za chama hicho. Hayo yalibainishwa jana kwenye kikao maalumu...
  10. NyotaMalaika

    Serikali yasema ifikapo Machi 31 wakulima wote watakuwa wamelipwa pesa zao za korosho

    Serikali imewahakikishia wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kuwa kufikia tarehe 31 Machi 2019 wakulima wote watakuwa wamelipwa fedha zao kwani uhakiki umekamilika kwa kiasi kikubwa. Hakikisho hilo mbele ya kamati hiyo limetolewa leo Tarehe 16 Machi 2019 na Waziri wa...
  11. NyotaMalaika

    JamiiTalks Faida na Hasara za Mitandao ya Kijamii kwa Vijana: Yaliyojiri katika Mdahalo wa Wanachuo Hoteli ya New Africa

    Mjadala mzuri ila huo upande wenye mdada anayezungumza "you know, you know"(In Magufuli's voice) wamepooza sana!
  12. NyotaMalaika

    Serikali ya awamu ya 5 ni mwarobaini wa Rushwa Tanzania?

    Polisi wasilaumiwe hata kidogo. Kwanza wale wa chini wana mishahara midogo sana halafu wananchi wenyewe tunawashawishi wachukue rushwa...
  13. NyotaMalaika

    Nini maoni yako kuhusu kusitishwa kwa mchakato wa Katiba Mpya?

    Katiba Mpya si kitu kama tuna viongozi wasioiheshimu hata hii iliyopo. Nini kinatuaminisha kuwa viongozi wataheshimu na hiyo ijayo?
  14. NyotaMalaika

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Mtama

    Bukoba mimi nashindwa kuelewa kwakweli! Labda tetemeko limekuwa kikwazo
  15. NyotaMalaika

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigoma Mjini

    Mipango hii ikikamilika itaiweka Kigoma sehemu nzuri sana kielimu.
  16. NyotaMalaika

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

    Uzi huu umejaa matumaini ya kuzaliwa kwa Nzega mpya.
  17. NyotaMalaika

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

    Basi hakuna umuhimu wa hii thread. Maana lengo la Tushirikishane ni mwananchi kuhusishwa kwenye process nzima
Back
Top Bottom