Search results

  1. S

    Univesal Mind

    Yap, ndio maana nikadondosha hiyo thread, nikiwa na maana tuanze kutumika kimatendo zaidi...mfano tuanze kufanya tafiti za ukweli na si kukopi na kupesti ili kufanya short cut
  2. S

    Ubabe vyuo vikuu

    Tatizo kubwa ninaloliona itikadi za vyama vimeathiri serikali halali za vyuo, wanatakiwa waelewe, serilkali hizi ni kama micro training ambazo husaidia watu kama akina Obama kujitokeza na kuleta mageuzi..lets unite and fight for our own rights..maisha mema kwa wale wote waliofukuzwa kwa ajili ya...
  3. S

    Ubabe vyuo vikuu

    Hivi kwanini kila serikali za wanavyuo zinapochaguliwa na wanachuo wenyewe kwa nini utawala hupenda kuingilia kati maamuzi ya wanachuo kuleta uvunjifu wa amani vyuoni..Mfano UDSM, LUKO, TEKU...Kulikoni?
  4. S

    Univesal Mind

    Wadau, Vyuo Vikuu pawe mahala pa kuleta mabadiliko, mitazamo mipya ya kimaisha, kuzitumia fikra sahihi za wanafalsafa na kuleta changamoto zitakazoibua mifumo mipya ya kimaendeleo na si sehemu ya makuzi na kuzibwa midomo!
Back
Top Bottom