Kichwa cha habari na mada vinagongana. Kichwa kinasema sababu za Tanzania "kushinda.....hizi hapa", somo la ndani Tanzania tusiende ICJ!
Is it me, who see this alone?
Breaking news:
Kamati ya Bunge Ardhi Maliasili na Mazingira imeamuru jengo pacha na liliporomoka linalo milikiwa na mbia yule yule na NHC libomolewe ndani ya siku 4
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mh James Lembeli baada ya kutembelea jengo lililobomoka leo.
Katiaka ziara hiyo...
Chama kina utaratibu wake wa kushughulikia haya, tuwe watulivu na kusubiri maamuzi ya viongozi. Tusi hukumu watu hapa hatuna facts hiyo barua yenyewe hatuna uhakika kama ni genuine au ya kutengeneza.
Tuvute subra wakuu.........
Huyu owner mwingine kishatuambia "relaxed till then.." sasa sijui hii till then ina maana lile jengo pacha jirani pindi litakapo poromoka au sijui nini....
Babu wa watu wa kihindi anasulubiwa peke yake lupango huko.
Bongo ni zaidi ya uijuavyo...
Rudi kwa jina la awali la KUCHE na umtaje Joshi Kanji ni nani acha kuruka ruka na kubadili majina utoto huo.
Nataka niku hakikishie jamaa yako Mchechu hatofanywa chochote hivyo usiwe na khofu mkate wako bado upo tu, na hao "WENYE mamlaka" hawana haja ya kusoma hapa, uozo uliopo kwenye serikali...
KUCHE aka JamiiBora,
Unapo badili majina jaribu kuwa a little bit smart, ( rejea kwenye nyekundu hapo )
Ushauri wa bure anzisha thread ya maafa ya Arusha tuwajue wa kuwajibika.
Huu utoto wa kuandikisha majina mapya every now and then hausaidii katika kumtetea rafiki yako
Naona sasa hoja zimeisha vimebaki vioja!, wenye akili zao washakustukia unataka kumuokoa rafiki kwa kumjadili mtoa hoja badala ya hoja. Kwa hiyo sasa mada ni Joshi Kanji ni nani, kaoa karibuni, kijana sio riziki, (mkorogo) m-mbeya ana majungu yale yale alipokuwa shule nk. Endelea kuporomosha...
Sasa kama ningewataja hao kwa majina na kumuacha Mchechu mtu mwingine angeniuliza mbona Mchechu umemuacha! Hakuna mahala niliposema hao wengine hawahusiki bahati wengi washakamtwa na kesi zipo mahakamani, tatizo lako ni kutajwa Mchechu tu?
Bahati mbaya zaidi kuliko zote ni nchi imeruhusu watu...
Mkuu naona umedandika Treni kwa mbele.
Hao wengine ambao unadai sijawataja wengi wao tayari wapo lupango wanasubiri kesi zao, na kama unaona kuna wengine wamesahaulika hata wewe una wajibu wa kuwaanika, hapa haonewi mtu.
Nimemtaja Mchechu sio kwa sababu nyingine yeyote bali ni kwa kuona...
Watu 36 wamepoteza maisha wategemezi wao zaidi ya 100 hawajui wataishi vp wewe unaita kosa la kawaida? no wonder Mchechu anajibu kijeuri "...stay relaxed till then!..." Wafe watu wangapi ili isiwe "kosa la kawaida?"
Pasco,
Tuwe wa kweli hapa, from the word go ulikuwa unamtetea Mchechu na mpaka sasa unaendelea kufanya hivyo, tena umeenda mbali zaidi kutaka awe Chief Secretary! ili amrithi mjomba wake Luhanjo!
Mapenzi mengine ni kupitiliza.....
Katika press conference yake ya jana Mchechu amenukuliwa akisema hayo hapo juu. Sasa swali, ikiwa watangulizi wake toka 1962 hawajaangusha hata jengo moja yeye anae pambwa hapa kuwa ni best CEO we ever had kishaangusha moja na jingine jirani na hapo hapo tuna hesabu siku tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.