kuna jamaa mmoja alikuwa nchi ya uarabuni.Alipo kuwa anataka kuvuta sigara yake akagundua kwamba hana kibiriti..Bahati nzuri mbele yake kulikuwa na mwarabu,tatizo likaja kwamba hajui kiarabu,basi ili aeleweke akamwambia yule mwarabu "give me JEHANNAM"...
teja aligombana na babaake.akatoka nje akiwa amekasirika akaenda moja kwa moja hadi kwenye geti la makaburi afu akabandika picha ya babaake chini ya picha akaandika "COMING SOON"
mi nina tatizo la uume wangu kuwa mdogo.mda mwingine naona hata aibu kufanya mapenzi na msichana.juzi juzi 2 nimekataa kufanya mapenzi na demu wangu kwa kutoa visingizio kibaaao.nisaidieni ndugu zangu kwa namna yoyote ile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.