asante nndondo,very true and straight ngoja tupambane labda mabadiliko yatakuja kabla hatujatoka kwenye ujana ila kubwa ni kujitambua na kuweka mipango kazi mizuri ya kufikia malengo thabiti,kila kijana akiwa amejitambua na kujua anataka awe wapi lini bila kuridhika na mafanikio madogo naamini...
poor Philemon,hv ndivyo wanavyotupeleka watawala wetu,Kama kweli huyo ndiye mshauri wa Kikwete nini tutegemee??ila naamin yote tunayopitia Mungu ana jibu lake,ipo siku yenu mtajuta na kukosa pa kukimbilia----Mungu isaidie Tanzania
Tatizo atateuliwa mwingine na mwenye madaraka naye atakuwa na ubia na chama cha kijani,suala na maana hapa ni kubadilisha katiba ili kuweka sawa utaratibu wa kuwekana kwenye kiti hicho muhimu.
Hi members,
My drive C of the server if full but other partitions have enough space,and due to this some applications can not be opened?how can i increase the size of this drive?please help.
Badilisha aina ya chakula unachokula na upepo unaopunga ili uongee point na ufikirie positive,yaani una mambo ya kizani kweli na sitaki kuamini mwanza ina mtu asiye na fikra chanya hivyo,napenda kuamini umetumwa na nia aibu sana kuwa agent wa wapuuzi,pole umepotea sana.
yaan anamtania baba yake mume wake kama anaye na watoto wake,babu zake pia ukoo wake kwa ujumla tukianzia anapotoka,nagundua hana nidhamu hata kidogo mungu amsaidie ajitambue
Nakumbuka Lowasa aliwahi kuwaambia watu wasome Kichina jimboni mwangu,nadhani ni matatizo ya kutokuwa na misimamo ya nini wanafanya,kwa sasa tunatakiwa kuboresha elimu iwe imara na si kuruka ruka na kila tunachoona kinalipa ktk sehemu moja kwan tunahitaji zaidi ya hilo.all the best JK in your...
jifunze kuondoa dhana ya kuajiriwa katika ulimwengu huu,unatakiwa kuwa fit ili ufanye projects zako mwenyewe,kama unapenda ajira sana utaishia kuchanganyikiwa mtaani au kupata waajiri wasithamin mchango wako,hvyo kuishia kulaan kwa muda uliopoteza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.