Mkuu iko hivi.
Haya ni maisha, na kila mtu anapata ugonjwa kwa njia anazozijua yeye.
Iwe kwa makusudi au bahati mbaya.
Najua name calling hairuhusiwi hapa.
Wala kuweka private chat wala picha ya muhusika.
Ila mimi natamka hv, muhusika ambae ni blackT anipe ruhusa ya kuweka vyote hivo ili hata...
Asanteni kwa like.
Naomba nitoe code kama ifuatavyo.
In English kuna alphabets from A to Z.
A for 1... B for 2 and so on.
So 20 for?
Then change Nyeusi in English word.
Kisha unganisha code.
Tahadhari wana Jf.
Kuna member humu anaishi na virusi vya UKIMWI.
Na anaambukiza kwa makusudi.
Na target yake ni kuwaambukiza wadada wa Jf kwa kisingizio cha kuwatafutia kazi mkoa aliopo.
Ushahidi ninao.
Na member huyu anaitwa Nyeusi 20 (fungua code)
Ushahidi ninao kama kaathirika....
Na hata...
Najua wengi sana tunatamani kuwasiliana kwa kutumia emoji au picha.
Mwanamke changia uzi huu, mwanume atakayeku-quote, mjibu kwa kutumia emoji au picha yoyote.
Karibuni.
Hodi humu jamani!!!
Msishangae kuja usiku wa manane.
Yamenifika hapaaaa!!!
Kila nikilala usingizi hauji.
Khaaa!!!!
Sasa leo mie ujio wangu nimekuja na jambo moja tu kuhusu baadhi ya wanaume wa humu Jf na hii tabia ya kushinda na msuli na boxer Pm kwetu sisi wadada.
Najua ujumbe huu watausoma...
Sisi wanawake wa humu Jf, tunajua fika kwamba wanaume wa humu....
Wote wana pesa,
Wote wana magari,
Wote wana elimu kuanzia degree,
Wote wamejenga,
Wote wanajua kuvaa,
Wote wazuri....
Ila sasa mie nashindwa kuelewa, kwanini ukikutana na baadhi yao wengi hawako kama wanavyojishaua humu Jf?
1...
Tunahitaji wasichana 3 tu kwa ajili ya kazi ya uhudumu wa Bar iliyopo hapa Kinondoni Mkwajuni.
Pia na kijana wa kiume kwa ajili ya kupewa jiko na kufanya kazi ya jikoni kama kuuza chips, mishikaki n.k
Gheto la kulala lipo ila asiwe anatoka mbali sana ili kuepuka usumbufu wakati wa kutoka kazini...
Tuchezeni mchezo wa maswali.
Toa swali lolote kati ya Hisabati, Kiingereza au Kiswahili kisha mtag/m-mention member yeyote utakayependa aje akujibie swali lako, nae akishakujibu atatoa swali la kwake na kum-tag/mention member yeyote atakayependa aje amjibie la kwake.
Iwapo hataliweza swali...
Eti utakuta mwanaume mzima, na akili zake timamu na kwa makusudi kabisa anafunga Pm yake.
Hivi naomba kuuliza, wewe mwanaume unafunga Pm ili iweje?
Unaogopa kutongozwa Pm au unaogopa kuombwa pesa huko Pm.
Hongera kwa wanaume woote wasiofunga Pm na Details zao.
Nyie mliobaki, huo ni Umama...
DaJane ni mimi, huyo boya Luhanyula achana nae.
Acha akune pumbu zake akalale.
Kushadadia wenzie kama yanamuhusu.
Badala ya kutoa ushauri, analeta pozi zake.
Kama anatafuta basha aseme watu tumtafutie, wamkune mpaka moyoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.