Habari,
Nina mashamba na viwanja vilivopimwa maeneo ya kigamboni kwa bei ya kuanzia milioni nne kwa mashamba ya kuanzia heka moja (bei inazungumzika) NA kwa anayetaka viwanja vyenye hati tuwasiliane kwa namba 0753 417 987.
Karibuni.
Pole Bro kwa hayo,ila uwe makini ufanye ngono salama jamani na pia jaribu kwenda hospital uonenane na maspecialist kwa msaada zaidi ...naomba kujua hiyo shabu inapatikana maduka yepi sababu naskia inazuia ama kupunguza jasho sijui kweli
Habar zenu bana,
hivi kuna njia ya kupunguza maji maji ukeni coz kuna ishu ya wanaume kutoenjoy kufanya mapenz na wapenzi wao sbb ya hali hyo,kisayansi n kwel kuna hali km hyo?na soln yake n nn hasa
Jamani hvi naeza kutumia kitu gani kinachoweza kupunguza kutoka jasho la kwapa?coz nina tatizo hili japo jasho lenyewe halitoi harufu na hali hii haijalishi niko kwenye joto ama sehemu ya barid jasho linatoka tu.
Pls anaejua juzane nn cha kufanya.
Katika maisha ,kuna wakati wa raha na uzuni pia,,kufiwa ni jambo ambalo hua linamuumiza kila mtu pindi yanapomkuta.
Je ni jambo gani lingine(ukiondoa kufiwa) ambalo limeshawahi kukuumiza saaaaaana na hutaeza kulisahau??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.