Maamuzi yalitolewa kwa niaba ya klabu na viongozi wa Klabu!!
Ni sahihi kwa klabu kupewa adhabu kutokana na kutokuwa makini kwa waendeshaji!!
Ni jukumu la wenye klabu kuwachukulia hatua wale walioifikisha klabu hapo....
Nidhamu iwe mbele ama sivyo suala la utaifa halina maana.......
ama...
Sio kweli kuwa kuna mwanafunzi amefariki katika sakata hilo.
Kwenye ubao wa matangazo hapo chuo wamebandika ufafanuzi kuhusu hilo.
Kufukuza wanafunzi sio sahihi...na wanafunzi kutumia mabavu na kuvunja sheria kudai haki pia sio sahihi.
Mie nafikiri wakati umefika sasa wakatumia mahakama...
Hii naomba iunganishwe na thread ya wanafunzi wa chuo kikuu kuomba msaada hapa JF.
Pia tuangalie chanzo cha mgogoro mpaka kufikia mgomo na uhalali wa mgomo huo kabla ya kutoa hukumu.
Mkuu naona umechanganya dozi.
Inayosemwa hapa ni Idol iliyo andaliwa na M-NET kwa ajili ya East Africa na nchi nyingine kadhaa....sio ile ya kutafuta star wa Bongo. Mie pia sijaona hiyo ya Mnet...hivyo sidhani kama nitafanya haki kuchangia
Kwa walioiona hiyo ya MNET....lets share the...
Mpaka hapo kulindana na kiburi kitakapo kwisha kwa wakubwa wa nchi hii... ufisadi utakuwa pia umepungua.....kwisha kwa ufisadi inaweza ikawa ngumu sababu ya mfumo wetu wa maisha.......
Huyu baba aliyetuita.. watanzania ni watu wenye wivu wa kijinga na wavivu wa kufikiri...alifikiri sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.