Habari wana JF,nina kerwa sana na jambo hili kwa muda mrefu nimelileta kwenu ili nipate mawazo yenu,Mimi ni kijana nina mchumba ila tabia za mchumba wangu zinanitia mashaka mpaka nimeanza kuhisi kushindwa kuwa katika huu uchumba.
Habari iko hivi,
Mchumba wangu anakaa kwa dada yake ambae...
Wana JF naomba mnipe dondoo zozote kuhusu hii tume ya ajira,Nimeitwa kwenye usaili utakao fanyika tarehe 30 mwezi huu kwa nafasi ya Computer Operator naomba mawazo yenu kama natakiwa kuwaje siku iyo ni maswali gani nayoweza ulizwa kwa hii nafasi na vitu vingine kama ivyo.
Nawasilisha.
Wana JF samahani kwa kuleta topic hii hapa,ila nahitaji msaada kwa yoyote aliekwisha fanya Interview kwenye hii tume ya ajira,Mimi nimeitwa kwenye Interview ambayo itafanyika tarehe 30 mwezi huu ivyo nahitaji kudokezwa mambo ambayo ni muhimu kuwa nayo na aina ya maswali ambayo wanapenda kuuliza...
Binafsi naona ni kweli wadada wengi haibu zimewajaa mpaka wakati wmingine inakua kero aisee,unakuta mdada hata kumwangalia men wake wakati wana do.. ni shida,nafikiri hii inachangia sana wanaume kuwa na nyumba ndogo.
Baada ya kusoma post za wana JF,nami pioa nimevutika kuchangia thread hii,binafsi sioni kama elimu ni Tatizo kwasababu naamini wapo wanaume wenye elimu ndogo na wanabusara sana,Ivi mnafikiri hao wenye ma PHD ndo sio wakorofi?Akili mbovu ni hulka ya mtu kwani hao wenye elimu kubwa pia wana mambo...
Uyo ni wa kumuacha tu hakuna cha kusubiri apo mana baadae atakuja kupata kubwa zaidi ya hayo aliyopata,tena uyo jamaa ana moyo sana na ni mvumilivu sana,mimi nampa hongera sana mana amevumilia sana.
Unajua nini, hii Nchi kuna viongozi ambao awastahili kuwa viongozi kwa kua wao watoto wao wanasoma uko maulaya hawahangaiki na wananchi maskini,yani ni wabinafsi sana hawa viongozi wetu.Nilishawahi kumsikia Prof mmoja wa chuo kikuu cha Dsm akisema kuwa walishafanya mchakato wa kubadili silabasi...
Inategemea nategwa na nani yawezekana anae nitega na mimi ndo nilikua nampigia hesabu, sasa fikiria out put yake itakuwaje hapo,yeye anajifanya anatega mimi nakuja mzimamzima.
"sio kila mlusha ndoana kwenye mto ataibuka na samaki"
Du!Mkubwa mimi niwe mkweli kwa masifa uliyoyatoa kwa uyo Duu mimi nisingemsubilisha kiivyo aisee yani ile katoka kuoga tu kingeeleweka kwanza alafu usingizi baadae tena kama vipi kulala siku iyo tunakupa likizo.
Ebana mi naomba mnipe mawazo juu ya ili swala la interview kufanyika kwa lugha ya kigeni(English) Wote tunajua fika Watanzania walio wengi icho kizungu ni cha kubabaisha babaisha na hii ni kutokana na mfumo wetu wa Elimu ulivyo, wengi wetu tumepitia kwenye izi shule za wakina "kayumba" na Sec...
Usimjaji mtu kwa lugha jaji utendaji wake wa kazi na icho ndo wabongo tunachokosea utakuta mtu mdomono anamwaga ung'eng'e ile mbaya mpe kazi afanye uone ayo madudu atakayoyafanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.