baada ya kimya cha mda mrefu cha tcu hatimae wametoa majina ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa vyuo vyote.Kwa wale wa BAED UDOM karibuni sana.
kuhusu BAED
Wanafunz wa BAED walihamishwa kutoka college of education kwenda college ya social science&humanities.Lengo la...
sipingani na barua hiyo,lakin nina mashaka na barua hiyo kwan mwandishi amedai ameanzisha vita ili kutokomeza biashara hiyo,kisha anasema kuna wengine ni aibu kuwataja.je ni kweli ameanzisha vita dhidi ya madawa ya kulevya au ni kuchafuana?je kuna barua ambayo haina jina la mwandishi?madawa yapo...
MAELEKEZO MUHIMU:
S/N JINA JINSI
NAMBA YA
MTIHANI TAHASUSI SHULE ALIYOSOMA ANUANI
CHUO
ALIKOPANGWA
1 Â ATHANAZI LUCAS MSILINGWAÂ ME S2213/0505 HK USEVYA BOX 113 SUMBAWANGA SONGEA
2 AARON JOHN ME P0798/0585 HK KOROGWE TEACHERS COLLEGE CENTRE BOX 6351 DSM SONGEA
3 ABACE BUHIRI ME P0546/0522 HG...
Kwanza nitangulize shukran kwa wana jamii forum kwa kaz kubwa ya kuelimisha jamii.baada ya shukran hizo,naomba kusaidiwa kwa hil:mama ana kesi dhid ya aliyekuwa mme wake tangia 1999 akidai mgawanyo wa mali walizochuma.kesi imeendeshwa hadi mahakama kuu na mama akapewa nyumba moja kat ya3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.