Oooh no, sikujua! RIP mwalimu Materu! Yule mwanae Rose Materu nae sijui yuko wapi. Hee nakumbukia enzi zile za kina mama Mwakasonda/Chigulu, Mwaisaka, Kibasa, Mzee Chikukula-RIP, mwalimu Mangula, Msasimela, Tweve nk nk! Ile shule ilikuwa nzuri sana, cjui sikuhizi! Hee mambo ya bustanini na...
Hayo maneno ya Chiligati yanaonyesha jinsi alivyojisahau kutetea maslahi ya majority (wananchi wote wanaoathirika kwa ajili ya ufisadi). Inauma sana unapoona kiongozi bila ya aibu anaongea maneno yasiyo na busara. Ifikie wakati viongozi wetu washtuke na kubadili mtazamo wa mambo! wananchi...
Hongereni sana CHADEMA kwa ushindi mnono mlioibuka nao Tarime. Iwe ni changamoto ya kukiimarisha chama na kuachana na migogoro inayowakwamisha kusonga mbele. Ukombozi si kitu cha siku moja, taratibu tu tutafika!
Tumechoka kuonewa na mafisadi waliojimilikisha nchi yetu na kugawa rasilimali zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.