Bro, acha masihara, ucjitafutie laana. Laana ya mwenza nayo ni mbaya! Km hajakufanyia kosa kwanini umuache? Kuishiwa na hamu na mwenza kwenye ndoa nikawaida tuu. Go back to the principles za ndoa. Sali sana. Muombe Mungu akupe moyo wa Upendo ili umpende na kumhitaji mke wako km enzi za uchumba...
Wewe unamatatizo sana hata kauli zako saivi zinaonyesha ujanjaujanja tuu. Nikweli mke wako hajafuata pesa, we ulitaka akaliwe na nani??? Pata muda kuwa na mkeo, mpe hitaji lake la ndoa moyo wake utatulia. unajidai uko bize kwa faidia ya nani km familia haina furaha??Huyo mgombea unayemnadi ni...
hahaaaaa, dah ni exclusive aiseee!nadhani unamatatizo ya kisaikolojia huna tofauti na wale wanaopiga chabo au ku piga punyeto hata km tayari washaoa au kuolewa. mtafute mwanasaikolojia hasa wa mahusiano atakusaidia kuondokana na hilo tatizo. Otherwise Muombe MUngu hali hiyo isijirudie...
changu sio mke wako ndugu. hizo mbwembwe za kunyonya nyonya usiwapelekeee. we lipa, ingia room moja kwa moja unamchomeka mashine (tembea na lubricant kabisaaa ili kulainishia kitu yake) ukishashusha mzigo chukua vitu vyako vyote ingia navyo bafuni kuoga then sepa zako. Hao wako kazini ukimuachia...
dah, huyo nome, yani miezi isiyo zidi mi3 ashalambwa na zaidi ya wa5?ila inaelekea na nyie hapo oficn ndo kawaida yenu!!hongereni kwa kulamba, pole wewe ulielamba bila dawa!
UMefanya ujinga sana aiseeee,unastahili kuadhibiwa kwa ulichofanya. Naamini kabisa uzembe wakwanza ulianzia kwako kwakutotoa hivyo vitu kwenye suruali baada ya kurudi nyumbani. Uzembe wa pili ni wamke wako kwakutokagua nguo za mume wake kabla yakuzitoa kwa housegal afue kwani naamini huyo...
There is only one solution for that.....Muombe Mungu tu akujaze upendo kwa mkeo tena mara mia ya ule wa awali. 10yrs are not worth a divorce...laasivo unatafuta laana tu! hope with prayers, ya going to rejuvenate very soon! Wishing u best of luck.
I dont care about kilichotokea kwa huyo dada na mahitaji ya mumewake kwasababu najua taratibu husika zitafuata na haki itapatkana, kimaadili na kisheria. Mi shida yangu iko kwako HR. Ushapoteza sifa yakuwa HR wa hiyo kampuni. Walaahi ningekuwa bosi wako ningeshakufuta kazi wewe kwanza hata kabla...
kubebea wapenzi wenu/wake zenu mikoba mnaona ni udhalilishaji mbona papuchi zao mnapiga kila kukicha na hamdhani ni udhalilishaji??mbona mnawabeba wao panapo msondo ngoma na wengine ni wazito haswaaaaaa!KWeli jamani mkoba tu iwe ishu kweli????come on, tupunguze kulalamika!
Mbona suluhisho la tatizo lako ni simpo tu! Fanya hivi:.....Next time mkitoka "out" halafu akawa kimya jaribu kujamba bonge la ushuzii, halafu umsikilizie kama hata sema kitu tena!!usisahau kula maharage yaliyoungwa mafuta ya mawese mahususi kwaajili ya zoezi hilo walau siku tatu mfululizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.