Nakereka sana mnavyomjadil nyerere vibaya. Hv nyerere si alitoa elimu ya bure kwa baba zenu?na kulikuwa hamna shule za st w2 wote walisoma shle za serikal na elimu ilikuwa bora kuliko sasa. For me Nyerere ni mtu ambaye ametufanya tuish bila udin,ukabila wala rang. Naamin kila mtu anamapungufu...
Hi ndg zangun wanajamii forum, tujiandae kuhesabiwa na tuwape ushirikiano makaran wa sensa. Usikubal kutohesabiwa. Sensa kwa maendeleo ya Taifa. Sensa oyeeee....asanten sana.
ndg zangun kuwen na huruma na hawa dada pind mnapowapa lift wafikishen salama usitumie huo muda kumlaghai,kumbuka na ww una dada na usingependa afanyiwe vbaya na huwa naamin ukitenda mambo mazur unabarikiwa na ukimtendea m2 ubaya siku moja utakurudia.
Jaman mdada kupanda lift ya mkaka ajabu nn? Usafir umekuwa shda sana nyakat na jion na asbh so mara nyingne m2 inabd tuu upande simply bz of shda ya usafir so p/ze judge them.
njaa mbaya.... Siamin km kuna kujuana sababu nimepata na simjui mtu yoyote na kat ya 400 tuliomba 2mebak 150 so naamin hak imetendeka km ujapata amin si risiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.