hawatowaacha huru na mambo yenu wayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao na wanachoonyesha kwenye sura zao sio walichoficha kwenye nyoyo zao kwahiyo usipoteze muda bro hao tunawajua kuliko wanavyotujua
Kweli kabisa mwenyezi amesema hawatowaacha hao mayahudi na manaswara mpake mfuate mila zao na wanawahofia waislam kuliko wanavyomuogopa mwenyezi mungu.
nawashangaa sana watu wanaomponda Zitto wakati ni mmoja wa viongozi aliyechangia umaarufu wa CDM kwa kufichua maovu mbalimbali hii inanifanya niamini kuwa wengi wa watu wanaojifanya wazalendo humu JF hawana lolote zaidi ya chuki binafsi na majungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.