Search results

  1. Dafo

    Ugonjwa wa ajabu unawatesa watoto wenye umri chini ya miaka 10

    Inawezekana kabisa ni scabies ni vyema mtoto apelekwe kituo cha afya atapewe dawa ya kupaka na kumeza
  2. Dafo

    Car4Sale Suzuki Carry for sale

    Asante nimerekebisha Mkuu
  3. Dafo

    Car4Sale Suzuki Carry for sale

    SUZUKI CARRY FOR SALE Year: 1996 Engine Size: 650cc Fuel: Petrol Mileage: 53,000km Transmission: Manual (5 gears) Usage: Private Service : Well maintained Price: 8.5 Million Contact: 0786647564 (Owner) Location: Kigamboni- DSM
  4. Dafo

    Msaada wa tafsiri ya warning light hii kwenye Suzuki Carry (Kirikuu)

    Wakuu habari za asubuhi, Tafadhali naomba msaada nilikuwa naendesha Suzuki Carry (kirikuu) lakini ghafla ikawasha hiyo warning light kwenye dashboard. tafadhali naomba kuelewa hiyo taa inamaanisha shida iko eneo gani au shida ni nini kabla sijaenda kwa mafundi wetu?
  5. Dafo

    Ofisi za DHL kwa Dar es Salaam ziko wapi?

    Wana ofisi pia posta ile jirani na holiday inn
  6. Dafo

    Mwili wangu unatoa umeme?

    Mwili wa binadamu uwa unazalisha chaji(static electric) ambazo hupelekea hali kama hiyo kutokea unapogusa vitu vya aina hiyo.Ndio maana kwenye mazingira ya kazi kama Gas Plants moja ya safety procedure kabla hujafanya maintenance uwa kuna kifaa unatakiwa ukishike kwa ajili ya kutoa chaji zote...
  7. Dafo

    Haya mambo ya nimesikia, nimeambiwa, nimeona kwenye TV ndo yanayotugharimu

    Ujasiriamali ni dhana ambayo misingi yake mikuu ni kujifunza kila leo,kupenda unachofanya,uvumilivu wa kusubiri matokeo na ubunifu.Katika nyakati za sasa watu wamekuwa wakiingiza kwenye shughuli za uzalishaji mali kwa dhana ya ujasiriamali wakati wakitaraji mafanikio makubwa kwa muda...
  8. Dafo

    Mbunge Nyalandu yuko wapi?

    AV
  9. Dafo

    Bei ya Water pump Ndogo (Manual)

    Liverpool kama niko kimanzichana mkuranga gharama ya survey ni kiasi gani? Kwa mita utachimba kwa kiasi gani?
  10. Dafo

    Azam TV inapeta, wengine wanachechemea

    Kiukweli azam tv wako vizuri sana ila waangalie kitengo cha huduma kwa wateja (customer care) kwa kweli huku wale wapokea simu suala la weledi wa kuongea na mteja bado haujakaa sawa.
  11. Dafo

    Pika supu ya kongoro namna hii

    Nini kinafanya inakuwa ya njano hvyo mkuu??
  12. Dafo

    Baada ya kufunga ndoa, mwezi mmoja baadae anaenda masomoni UK

    Mkuu utaratibu wa kupata visa ni kuwa na documents sahihi kwa aina ya visa unayoomba.kwa vile mdau umesema amepata sholarship yeye hana tatizo kwa sababu documents zitaonyesha anaweza kumudu maisha ya UK.Ishu ya pili ni jinsi gani mke wake anaweza pata visa ya kwenda na mume wake.hapo atatakiwa...
  13. Dafo

    Mini laptop inatafutwa

    ipo samsung nyeusi,details nyingine zipo kama ulivyotaja.nicheck kwenye 0653685339.shukrani
  14. Dafo

    TANESCO yatoa Ratiba ya Mgao wa Umeme (Kinondoni, Kilimanjaro, Ilala na Temeke)

    Hiyo ratiba ni uzushi tu maeneo mengi yamekatiwa umeme hayapo kwenye hiyo ratiba.kigamboni wamekata umeme saa 2 asubuhi hivi na ratiba sidhani kama inaonyesha mgao leo kwa huku.
  15. Dafo

    Nilikuwa nakutega tu!!

    Pesa na gari ndo uchawi wa kizungu.
  16. Dafo

    JF is my homeland

    Hongera sana mkuu.Ujasiriamali ni mgumu hasa unapoanza kwanza unakutana na changamoto ya jamii inayokuzunguka kukuona umechanganyikiwa kwanini uache kazi ambayo ilikuwa na uhakika wa kipato kila mwisho wa mwezi.Na hili ndio linalopelekea kushusha hari ya vijana kupata udhubutu wa kufanyamambo...
  17. Dafo

    Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi...

    Great move kaka!!hongera sana wanasema ujasirimali ni kama dini ukishaamini basi utafanikiwa haijalishii mara ngapi utaanguka.Na kwa nchi yetu tukiweza kupata watu wenye ujasiri kama huu hakika tutakuwambali.Jamii inaleta tafsiri mbaya kwamtu kuwa msomi ni kuwa hatakiwi kufanya shughuli za...
  18. Dafo

    samaki wanauzwa ni wale wa mapambo

    Mkuu species ulizokua nazo ni hizo tu ulizotaja??blackmore, koi na angel hauna?pia red ni wale fence au wa kawaida??Na gold pia ni weusi au wekundu??asante kaka
Back
Top Bottom