Maandiko yanasema, "mlee mtoto katika njia ya Bwana, naye hataiacha hata akiwa mzee". That means kuku wa kisasa 'ukimlea' kwa njia za kienyeji tangu akiwa mdogo atazoea pia kujitafutia akiwa 'mtu mzima'.
Kwa maelezo zaidi mtafute mtu humu anajiita 'kuku mdogo'...
Mkuu.. Inawezekana kabisa ukawa na ugonjwa wa Insomnia.... Huu ni ugonjwa wa kukosa usingizi.. Kuna dawa za vidonge kama tryptilyne zinaweza kukusaidia ukapata usingizi...
Mabwawa ya maji taka ya gereza la Segerea yako karibu kabisa na barabara iendayo Kinyerezi.. Mbaya zaidi haya mabwawa ya maji taka yako karibu na mto na cha kusikitisha, haya mabwawa yanaonekana yamejaa hadi kuvuka kingo zake na kutuama kwenye kabonde kitu ambacho mvua ikija huenda yakasombwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.