jamani wana jf naomba mnijuze kitu kimoja eti nimesikia majina yaliyobandikwa leo kwenye kata
kwa ajili ya usaili eti yatachakachuliwa tena nakutolewa mengine baada ya ck tatu wakati kuna watu waliokuja wakakosa majina yao kwanini wafanye kazi mara mbilimbili inamaana mtu kafika kaona jina lake...
watu wa mkoani msijali mazee kwani hakuna ishu kwenye usail wanaangalia vyeti vyako tu na unaandika jina kwenye karatasi iliyoandaliwa na wanakuuliza ulisoma wapi na ulimaliza mwaka gani bac.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.