Ni sahih kiongozi'hawa walalamikao ni wale wale walimu ambao hawakugoma na kusimamia sensa wamepotezewa so cku nyingine acheni kujipendekeza'mlidhani usaliti wenu ungewapa First Priority' Jifunzeni'mbona si wengine tumechili tu?
Plse waalimu wote hapa jamvini,achaneni na hao jamaa wanafki wanaopinga kile tulichokitenda tokea 30-2 mwezi huu,naomba tusibishane nao saana kiasi tukatokwa na povu kwa mdomo,Plse let Us show them'kwani wao ndio watakao ingia darasani kufundisha?lazima waisome namba tyme hii
Kitumbua kishaingia mchanga,Police kikubwa kiwatesacho ni njaa na kujipendekeza'na wengi ni QT,Sasa safari hii wao na serikali yao lazima waisome namba. Walimu hatutishiwi nyau'tutalala home mpaka baba Rizi anyoshe maelezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.